Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Mtu anayenifahamu akinitamkia siwezi kushangaa hata kama hatukuwahi kuwa na ukaribu ila kinachonishangaza ni.mtu kumtamkia mtu unampenda humjui ni mrefu au mweusi, mrefu au mbilikimo n.k. huu si wizi wa mchana kweupe huu
 
Kwa hilo nakubali...
Lakini je ni kweli mtu anakupa nafasi ya kuwa rafiki hasa humu bila ya kujua lengo lako hasa ni nini...??
Mtu anayenifahamu akinitamkia siwezi kushangaa hata kama hatukuwahi kuwa na ukaribu ila kinachonishangaza ni.mtu kumtamkia mtu unampenda humjui ni mrefu au mweusi, mrefu au mbilikimo n.k. huu si wizi wa mchana kweupe huu
 

Humu na id fake majina fake bado watu wanatongozana na hawafahamiani? Dunia haiishi visa hii.
 
Kwa hilo nakubali...
Lakini je ni kweli mtu anakupa nafasi ya kuwa rafiki hasa humu bila ya kujua lengo lako hasa ni nini...??
Kwa hilo inategemea ntu na ntu. Lakini bado ni afadhali ukafahamiana na mtu kwa jina urafiki kwanza hata kama mioyo yenu inasema vinginevyo kuliko kumtamkia unampenda hata humjui bali umejitengenezea wewe picha yako unayoipenda ukifika mambo sio kama ulivyofikiria unakula kona matokeo yake ni maumivu na chuki zinaletwa mpaka huku majukwaani.
 
Mapenzi ni nafsi na sio sura.
 
Well mwaka juzi nilisajili line ya mtandao fulani, sasa nafikiri ni namba iliyokuwa inatumiwa na mtu kabla yangu then ikarudishwa kwenye system. Kuna siku mwanaume akapiga akimuulizia mwenye alikuwa na hiyo namba kabla yangu. Nikamwambia mie ndio mwenye namba na simtambui mtu huyo. Alisisitiza sana kuwa namba anayo kaisave kwa simu yake ila ni kitambo kidogo hajawasiliana nae.

Nilimwelewesha baadae akanielewa na ukawa mwanzo wa mawasiliano. Tukafahamiana majina na mambo mengine, to cut the long stor short baadae tukapanga kuonana. Kwenye picha alionekana mrefu na mwili wa wastani ukijumlisha na bonge la sauti ya kiume nikasema YES.

Sasa siku ya kuonana nae sikuamini nikahisi ni mtu mwingine kaja, jamaa ni kafupiiii, kanenee, kitambi kama gunia. Nilijikaza sikuonyesha kushtuka sana. Alifurahi kweli, tukapiga story,tukala na kunywa then tukaagana kuwa tungeonana siku inayofuata. Mungu anisamehe nilizima simu na sikuitumia tena ile line.
 
Ok, nimekuelewa... Sema idadi kubwa ya wanawake siku hizi hawataki urafiki kwanza, na kama ukiweka urafiki nae basi kuna uwezekano mkubwa akakuona boya... Hii ni changamoto moja wapo kwetu sisi...
Mfano binafsi wadada wanne mtaani kwa nyakati tofauti nimeweka urafiki nao, tena ule ambao wa kumuonyesha kwamba nina jambo zaidi ya urafiki halihitaji kwake, lakini ninapokuja kumueleza nia yangu hasa, naambulia chenga na uongo mwingi, bahati nzuri huwa naelewa mapema na huwa nachukulia poa...

Sasa inafika wakati mtu unasema bora uende useme tu moja kwa moja nia yako, hata kama ni huku mtandaoni..
 
Haaaaa mkuu we uko vzr,,
Mi nilitongoza dada binamu bilakujua
 
Kwa mtu unayemfahamu huna haja ya kuanzisha urafiki we nenda tu moja kwa moja kwa sababu mwanamke akishakuzoea kumtongoza baadae tena inakuja kuwa changamoto ila kwa huku mtandaoni hapana jitahidi walau uonane na mtu ndio utoe hisia zako, hata picha basi
 
Nimekupata vizuri, mwisho kabisa kuna kupata na kukosa...
 
Online huwa natongozaga kama michezo siku nikiboeka najisikia kukosa mtu wakuongea naye basi naamua kuwasumbua ila cha ajabu nliobahatika kukutana nao wanakuwaga real kabisa so sijabahatika kukutana na hao wakufake maana mwenye huwa si fake kabisa
Yeah. Ata me huwa nachat nao kama cna mtu wa kuchat nae au kama niko bored.
Na cjui kwann unapokuwa hauko serious unakutana Na watu walio serious.
 
They only choose to show wat they want u to c......msiofunga zipu ndomnapata tabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…