Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

😀😀😀
 
Duuh nilishawahi kukutana nachangamoto kama hizo Ila nilifaidi cz alikuwa bado alikuwa jikira
 
Bora wewe ulifanya utu
 
Tunatake note
 
Utashangaa mtu hajawahi kukuona, avatar umeweka sio wewe lakini bado anakutongoza.
Ngoja niwarahisishie

1. Mzoee mtu hata kama lengo lako kumtongoza
2. Mkishazoeana mtahamia kwingine ambako kwa kuwa anakuchukulia rafiki hatafake hats kama ni picha zitakua ni yeye
3. Ukiona amekidhi vigezo sasa funguka

Hii tongoza tongoza IPO siku watakuja kutongoza wanaume wenzao mi nawaangaliaga tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji852]
 
Nakuombeeni iwe ndoa
 
mim nilipata bint flan hvi alikua wakawaida sana au naweza kusema mbaya kabisa ila nikaona haina noma,,nikamtongoza na safar ikaanza baada ya cku mbili tatu nikamwambia tuonane akaja maeneo nilipo cha ajabu kumbe alikua ni mzuri mrembo sana tofaut na alivyo kwenye mtandao mpaka nikaogopa ila nilikuja kumpoteza baadae kwa sababu niliona amenizid umri kwa tofaut ya miaka 7 ila kimuonekano alikua kama bint wa miaka 18 na mim nina mwili mkubwa kumzidi yeye so kwa macho huwez ona tofauti yetu,,ila nili enjoy sana kuwa na yule mdada sijui yupo wap sikuhzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…