litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
How old are you sir!!!?.Kama mwanaume,ambaye numnene,naumia mno,ila ndiyo ali yangu na siwwzi ikwepa.badala yake naweza i mitigate
Changamoto nazokutana nazo faraga ni hizi,
Kushindwa baadhi yastahili km vile chuma mboga
Kushindwa,kuwa mwepesi na hii kupelekea,wyf kuendesha,yeye kila muda
Kimsingi wyf naye nimnene kiasi,so plus naunene wangu ni changamoto kubwa sana
Inafika wakati unaomba,usiku usije ukiofia zile mikiki mikiki
Unafikiri rahisi.Punguzeni kula kula ovyo.
Una uhakika au unatusingizia tu?.Unakuta dume lina kitambi kama FURUSHI LA MAGIMBI anabehua tu muda wote. Chefuuu!!
Mmezidi ulaku sana, kila kitu mnakula kama nguruwe...... kubugia machips nyinyi, kitimoto nyinyi, bia za kudoea nyinyi, maugali nyinyi, mawali nyinyi, mapera nyinyi, supu ya alfajiri nyinyi.... khaaaa WE HUOGOPI?
Kadiri tumbo linavyozidi kuvimba ndivyo kibamia kinavyozidi kuzama ndichi, WE HUOGOPI?
Cc: Lamomy Extrovert Mbaga Jr Kapeace mshamba_hachekwi
Ikiwa si rahisi acheni kulalamika baki na starehe ya kula.Unafikiri rahisi.
Hakuna namna, maswala ya kuaibishana kimoja Chali + kuhema kama unataka kukata moto BIG NOIkiwa si rahisi baki na starehe ya kula.
Umejuaje nina kibamia? Sina kibamiaUnakuta dume lina kitambi kama FURUSHI LA MAGIMBI anabehua tu muda wote. Chefuuu!!
Mmezidi ulaku sana, kila kitu mnakula kama nguruwe...... kubugia machips nyinyi, kitimoto nyinyi, bia za kudoea nyinyi, maugali nyinyi, mawali nyinyi, mapera nyinyi, supu za alfajiri nyinyi.... khaaaa WE HUOGOPI?
Kadiri tumbo linavyozidi kuvimba ndivyo kibamia kinavyozidi kuzama ndichi, WE HUOGOPI?
Cc: Lamomy Extrovert Mbaga Jr Kapeace mshamba_hachekwi
Tafuta namna upunguze uzito. Hapa hutapata msaadaKama mwanaume,ambaye numnene,naumia mno,ila ndiyo ali yangu na siwwzi ikwepa.badala yake naweza i mitigate
Changamoto nazokutana nazo faraga ni hizi,
Kushindwa baadhi yastahili km vile chuma mboga
Kushindwa,kuwa mwepesi na hii kupelekea,wyf kuendesha,yeye kila muda
Kimsingi wyf naye nimnene kiasi,so plus naunene wangu ni changamoto kubwa sana
Inafika wakati unaomba,usiku usije ukiofia zile mikiki mikiki