Changamoto tunazokutana nazo wanaume wanene faragha

Changamoto tunazokutana nazo wanaume wanene faragha

Zaidi ya kimoja kwaajili ya nini na nani haswa?

Kwanza ibaki kuwa ni kwaajili ya uzazi tu!
Sahihi.
Maswala ya kujifanya mafundi sana ndio shida, kutaka kujilinganisha na watu.

Busara ibaki palepale ukioa mke bikra ni faida kwako anakuja hajui vitu vingi pia inakuwa ngumu kuona wewe mzembe. Sasa Hawa wastaafu wa kitambaa cheupe/ kaumba/ Mafiat. Wana kuchukulia mwanamke mwenzao mwenye kisimi kirefu na bese🫢. Astaqafirullah.
 
Unakuta dume lina kitambi kama FURUSHI LA MAGIMBI anabehua tu muda wote. Chefuuu!!

Mmezidi ulaku sana, kila kitu mnakula kama nguruwe...... kubugia machips nyinyi, kitimoto nyinyi, bia za kudoea nyinyi, maugali nyinyi, mawali nyinyi, mapera nyinyi, supu za alfajiri nyinyi.... khaaaa WE HUOGOPI?

Kadiri tumbo linavyozidi kuvimba ndivyo kibamia kinavyozidi kuzama ndichi, WE HUOGOPI?

Cc: Lamomy Extrovert Mbaga Jr Kapeace mshamba_hachekwi dronedrake Maghayo
Punguza hasira singo maza bonge wako atakutumia pesa za child support 💩
 
Back
Top Bottom