Changamoto tunazokutana nazo wanaume wanene faragha

Changamoto tunazokutana nazo wanaume wanene faragha

Kama mwanaume, ambaye ni mnene, naumia mno, ila ndiyo hali yangu na siwezi ikwepa. Badala yake naweza i mitigate

Changamoto nazokutana nazo faragha ni hizi, kushindwa baadhi ya stahili kama vile chuma mboga.

Kushindwa, kuwa mwepesi na hii kupelekea, wife kuendesha yeye kila muda.

Kimsingi wyf naye ni mnene kiasi, so plus na unene wangu ni changamoto kubwa sana. Inafika wakati unaomba, usiku usije ukihofia zile mikiki mikiki.
Wewe ni mwanaume au Mwanamke?
 
Watu wanene wakilala usingizi wanakoroma utadhani wanakata roho.
Wake zao wana taabu sana.
Unene ni kupenda kula kula tu.

Kwenye kambi za wakimbizi hakuna mtu mnene.
Sababu ya kukosa kula kula
Wakimbizi wanakonda kwa mengi.....Mtu yuko Uimbizini lakini hapo hapo kwenye kambi anazaa watoto hadi 9. Chakula cha msaada hadi chumvi.
 
Kama mwanaume, ambaye ni mnene, naumia mno, ila ndiyo hali yangu na siwezi ikwepa. Badala yake naweza i mitigate

Changamoto nazokutana nazo faragha ni hizi, kushindwa baadhi ya stahili kama vile chuma mboga.

Kushindwa, kuwa mwepesi na hii kupelekea, wife kuendesha yeye kila muda.

Kimsingi wyf naye ni mnene kiasi, so plus na unene wangu ni changamoto kubwa sana. Inafika wakati unaomba, usiku usije ukihofia zile mikiki mikiki.
Chuma mboga? Like serious???

Wewe ndo unatakiwa kuchuma mboga au mkeo?
 
Back
Top Bottom