Changamoto tunazokutana nazo wanaume wanene faragha

Changamoto tunazokutana nazo wanaume wanene faragha

Kama mwanaume,ambaye numnene,naumia mno,ila ndiyo ali yangu na siwwzi ikwepa.badala yake naweza i mitigate

Changamoto nazokutana nazo faraga ni hizi,
Kushindwa baadhi yastahili km vile chuma mboga

Kushindwa,kuwa mwepesi na hii kupelekea,wyf kuendesha,yeye kila muda

Kimsingi wyf naye nimnene kiasi,so plus naunene wangu ni changamoto kubwa sana
Inafika wakati unaomba,usiku usije ukiofia zile mikiki mikiki
Mwanaume lijali unaomba usiku usiingie jamanii..
 
Kama mwanaume,ambaye numnene,naumia mno,ila ndiyo ali yangu na siwwzi ikwepa.badala yake naweza i mitigate

Changamoto nazokutana nazo faraga ni hizi,
Kushindwa baadhi yastahili km vile chuma mboga

Kushindwa,kuwa mwepesi na hii kupelekea,wyf kuendesha,yeye kila muda

Kimsingi wyf naye nimnene kiasi,so plus naunene wangu ni changamoto kubwa sana
Inafika wakati unaomba,usiku usije ukiofia zile mikiki mikiki
Shuwaini utagongewa sana
 
Kama mwanaume,ambaye numnene,naumia mno,ila ndiyo ali yangu na siwwzi ikwepa.badala yake naweza i mitigate

Changamoto nazokutana nazo faraga ni hizi,
Kushindwa baadhi yastahili km vile chuma mboga

Kushindwa,kuwa mwepesi na hii kupelekea,wyf kuendesha,yeye kila muda

Kimsingi wyf naye nimnene kiasi,so plus naunene wangu ni changamoto kubwa sana
Inafika wakati unaomba,usiku usije ukiofia zile mikiki mikiki
Usiogope!

Kitambi sio manyama uzembe ya nje bali utumbo mpana kujaa kinyesi plus mafuta mengi kule ndani!

Sasa amka asubuhi mapema kunywa chai ya moto ya rangi isiyo na sukari kama vikombe viwili,mwambie wife akuchemshie hiyo chai usiku uanze kuinywa usiku huo baada ya kula na asubuhi kabla ya kula chochote kunywa vikombe viwili au vitatu,utaenda chooni na kushusha mzigo wa maana!!

Usile breakfast Hadi saa nne au tano ukizoea kula lunch TU na dina!!

Utazoea na njaa itakata kabisa asubuhi!

Baada ya mwezi utapungua na show itabadilika tangy siku ya kwanza ya zoezi!!

Hata mchana baada ya lunch unaweza shushia na chai hiyo isiyo na sukari!!?

Kwanini!!?chai inaongeza mmengenyo wa chakula ndio Maana wachina,wahindi,hata waturuki hunywa kabla na baada msosi na hii inawasaidia kumntain weight!!au kushusha kabisa!!

Ukihisi kiu kunywa mahi lakini sio ya baridi sana!

Sukari sio ya ku entatain sana kwenye milo!
 
Kama mwanaume, ambaye ni mnene, naumia mno, ila ndiyo hali yangu na siwezi ikwepa. Badala yake naweza i mitigate

Changamoto nazokutana nazo faragha ni hizi, kushindwa baadhi ya stahili kama vile chuma mboga.

Kushindwa, kuwa mwepesi na hii kupelekea, wife kuendesha yeye kila muda.

Kimsingi wyf naye ni mnene kiasi, so plus na unene wangu ni changamoto kubwa sana. Inafika wakati unaomba, usiku usije ukihofia zile mikiki mikiki.
Tatizo lenu nyie ni wala ovyo
Kama mwanaume, ambaye ni mnene, naumia mno, ila ndiyo hali yangu na siwezi ikwepa. Badala yake naweza i mitigate

Changamoto nazokutana nazo faragha ni hizi, kushindwa baadhi ya stahili kama vile chuma mboga.

Kushindwa, kuwa mwepesi na hii kupelekea, wife kuendesha yeye kila muda.

Kimsingi wyf naye ni mnene kiasi, so plus na unene wangu ni changamoto kubwa sana. Inafika wakati unaomba, usiku usije ukihofia zile mikiki mikiki.
Tatizo lenu hata kula mnafukia fukia bila moangilio
 
Ila watu mna kauli za ajabu sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna watu na vitambi vyao vikubwa ukiwapa mchanganyiko wa alovera iliyolowekwa kwenye maji na kuwa chungu sana!wataharisha masaa hata matatu na kitambi kitaisha na kuwa flat screen!

Vitambi vingi ni indigestion iliyosababishwa na mfumo duni wa mmengenyo wa chakula plus stool ya uchafu kwenye rectum!!
 
Kuna watu na vitambi vyao vikubwa ukiwapa mchanganyiko wa alovera iliyolowekwa kwenye maji na kuwa chungu sana!wataharisha masaa hata matatu na kitambi kitaisha na kuwa flat screen!

Vitambi vingi ni indigestion iliyosababishwa na mfumo duni wa mmengenyo wa chakula plus stool ya uchafu kwenye rectum!!
Aaaah apo sawa lakini alovera haipatikani sehemu nyingi kwanini asichukue sabuni ya kipande ailoweshe kwenye maji ikiyeyuka anywe aendeshe mpaka mzigo uusge tumboni
 
Kama mwanaume, ambaye ni mnene, naumia mno, ila ndiyo hali yangu na siwezi ikwepa. Badala yake naweza i mitigate

Changamoto nazokutana nazo faragha ni hizi, kushindwa baadhi ya stahili kama vile chuma mboga.

Kushindwa, kuwa mwepesi na hii kupelekea, wife kuendesha yeye kila muda.

Kimsingi wyf naye ni mnene kiasi, so plus na unene wangu ni changamoto kubwa sana. Inafika wakati unaomba, usiku usije ukihofia zile mikiki mikiki.
Ukiwa mnene baadhi ya shughuli ni adhabu.

Fanya mazoezi uwe na mwili wa wastani.
 
Unakuta dume lina kitambi kama FURUSHI LA MAGIMBI anabehua tu muda wote. Chefuuu!!

Mmezidi ulaku sana, kila kitu mnakula kama nguruwe...... kubugia machips nyinyi, kitimoto nyinyi, bia za kudoea nyinyi, maugali nyinyi, mawali nyinyi, mapera nyinyi, supu za alfajiri nyinyi.... khaaaa WE HUOGOPI?

Kadiri tumbo linavyozidi kuvimba ndivyo kibamia kinavyozidi kuzama ndichi, WE HUOGOPI?

Cc: Lamomy Extrovert Mbaga Jr Kapeace mshamba_hachekwi dronedrake Maghayo
Kuleni chuma hichoo ***** zenu japo wanaume hatusemani ila nyie mmezidi
 
Back
Top Bottom