Unakuta dume lina kitambi kama FURUSHI LA MAGIMBI anabehua tu muda wote. Chefuuu!!
Mmezidi ulaku sana, kila kitu mnakula kama nguruwe...... kubugia machips nyinyi, kitimoto nyinyi, bia za kudoea nyinyi, maugali nyinyi, mawali nyinyi, mapera nyinyi, supu za alfajiri nyinyi.... khaaaa WE HUOGOPI?
Kadiri tumbo linavyozidi kuvimba ndivyo kibamia kinavyozidi kuzama ndichi, WE HUOGOPI?
Cc:
Lamomy Extrovert Mbaga Jr Kapeace mshamba_hachekwi dronedrake Maghayo