Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Kwa sababu mwaka au manara kaachana na mke wake na wewe unakataa ndoa unashindwa kuelewa tayari hao jamaa wana vizazi vyao hapa duniani na unakuta mtu anasema kataa ndoa maskini hana hata mtoto mmoja
 
Ni aibu Mwanaume mwenye akili timamu kukataa ndoa kwani ndoa ni ibada, mtu akisema anajipanga kwanza aoe hapo tutaelewa au akisema muda ukifika ataoa hapo sawa lakini wanaokataa ndoa hawana hoja kabisa,
Pinga haki sawa, waarabu wamegoma haki sawa ndio maana ndoa imekuwa ibadan kwao.
 
Sehemu ya pili
2.MALEZI kwenye makuzi
Kutokana na utandawazi maendeleo ya tech na harakati za maisha siku hizi wazazi hawana muda wa kukaa na vijana wao na kuwapa ABC za maisha ukikuta familia imekaa pamoja basi kama sio wakati wa chakula basi ni kuangalia tv nk
Maisha ya sasa pia hayatoi nafasi kwa vijana kushiriki shughuli za kujijenga kimwili na kiakili, uwajibikaji nk.. Wazazi, watoto wote wako busy kutafuta maisha na muda kidogo unaopatikina basi unaishia kwenye starehe na mambo yasiyojenga uwajibikaji wala ukomavu wa akili, maono na mitazamo

3. Uchumba wa muda mfupi, ndoa katika umri mdogo, ndoa bila kujiandaa
Kampeni kubwa ya kataa ndoa mifano yake inasababishwa pamoja na mengineyo lakini na hayo hapo juu

Ndoa si kitu cha kukimbilia ni jambo la kuleta muunganiko wa kudumu wa kihisia maono na mapenzi.. Hivyo uchaguzi wa mwenza sahihi sio jambo la dharura
Japo kuna mengine yatagundulika mbele ya safari, lakini walau kaa na mtu si chini ya miaka mitatu, ukichukua muda wa kutosha kumchunguza kwenye kila kitu
Hisia zake kwako
Mapenzi yake kwako
Utayari wake kwako
Maono yake
Kiwango chake cha akili, maarifa na ufahamu
Hamu zake
Tamaa zake
Madhaifu yake nknk
Unaenda mbele zaidi kwa kuangalia background yake hasa kupitia familia yake, ndugu zake jamaa na marafiki

Haya mambo yote yanakuhitaji muda wako wa kutosha tuu.. Usiamini kwa asilimia mia yote anayokuambia kuhusu yeye! Mchunguze mood yake ukiwa huna, ukiwa na stress ukiwa unazo ukiwa na furaha nknk
Vijana wengi hukimbilia ndoa katika umri mdogo.. Ndoa katika umri mdogo nyingi huvunjika baada ya muda mfupi

Ndoa inataka maandalizi hasa na kutambua baadhi ya mambo ya msingi
Unaoa binadamu na sio mnyama wa kufuga ama mdoli..
Uchumba ni tofauti kabisa na ndoa
Mtashare sasa chumba kimoja, kitanda kimoja, nyumba moja kila siku.. Mtaonana kila usiku mnataka hamtaki
Passion of love ikiisha mnabaki na hisia zenyu halisi na hapo sasa ndio ndoa inaanza rasmi
Unaanza kuyaona mapungufu ya mwenzako
Unaanza kumchoka
Unaanza kujilaumu nknk.. Wengi hushindiwa hapa na kukimbilia mitandaoni kulaumu na kuomba ushauri kwa wasio wana ndoa ama walioshindwa kwenye ndoa zao

Ndoa ni ya wawili tuu wa tatu ni Mungu wa nne ni shetani.. Ndani ya hiyo cycle wengine wooote hawahusiki kabisa na kama wakihusika wana mipaka yao

Mwisho wa sehemu ya pili.. Nitaendelea sehemu ya tatu
Hii mada ya kataa ndoa inabidi ijibiwe kwa hoja, hawa vijana wanaoikataa ndoa ukute wana mantiki kubwa sana, inaitaji umakini mkubwa sana kuwaelewa na kuweza kujibu hoja yao ya msingi.

Kwa mimi binafsi nadhani kuna utofauti kubwa kati ya kuoa na kufunga ndoa.

1. Naanza na kuoa.

Wazee wetu wa zamani walikuwa wanaoa siyo kufunga ndoa. Ndiyo maana familia zao ziliweza kuishi kwa amani kubwa sana na kuheshimiana tofauti na sasa. Mwanamke alikuwa ana adabu kubwa na anamtii mme wake. Hakukuwa na tamaa za mali ambazo kwa asilimia kubwa zinavunja familia. Mwanamke alijua anatoka kwao anaenda kuolewa na kuanzisha familia na siyo kuchuma mali.

2. Ndoa
Ni upgrade ya kuoa ikiwa na maana hii ifuatayo.
Tafsiri ya ndoa za kipindi hiki ni kama ajira ama taasisi ya biashara yaani startup ambayo founders wawili kila mmoja ana share ya 50% ya ownership. Ambapo anytime founder yeyote anaweza kuharibu hiyo taasisi iliyoanzishwa na kuondoka na 50% yake. Na hii imetengenezwa kwa ajili ya favour ya mwanamke, power ya mwanamme ni kama haipo kwenye ndoa. Ndoa imeegemea upande mmoja na wanawake wanatumia iyo weakness vibaya sana. Hakuna mwanamme anayeweza vumilia kukaa na mwanamke malaya, mjeuri, mwenye kiburi, asiyemsikivu e.t.c eti kisa kafunga naye ndoa.

Maoni yangu ni kwamba turudi kwenye utaratibu wa zamani yaani tuoe na tuzae ila tusifunge ndoa. Ndoa zimekuwa za kitapeli.
 
Hii mada ya kataa ndoa inabidi ijibiwe kwa hoja, hawa vijana wanaoikataa ndoa ukute wana mantiki kubwa sana, inaitaji umakini mkubwa sana kuwaelewa na kuweza kujibu hoja yao ya msingi.

Kwa mimi binafsi nadhani kuna utofauti kubwa kati ya kuoa na kufunga ndoa.

1. Naanza na kuoa.

Wazee wetu wa zamani walikuwa wanaoa siyo kufunga ndoa. Ndiyo maana familia zao ziliweza kuishi kwa amani kubwa sana na kuheshimiana tofauti na sasa. Mwanamke alikuwa ana adabu kubwa na anamtii mme wake. Hakukuwa na tamaa za mali ambazo kwa asilimia kubwa zinavunja familia. Mwanamke alijua anatoka kwao anaenda kuolewa na kuanzisha familia na siyo kuchuma mali.

2. Ndoa
Ni upgrade ya kuoa ikiwa na maana hii ifuatayo.
Tafsiri ya ndoa za kipindi hiki ni kama ajira ama taasisi ya biashara yaani startup ambayo founders wawili kila mmoja ana share ya 50% ya ownership. Ambapo anytime founder yeyote anaweza kuharibu hiyo taasisi iliyoanzishwa na kuondoka na 50% yake. Na hii imetengenezwa kwa ajili ya favour ya mwanamke, power ya mwanamme ni kama haipo kwenye ndoa. Ndoa imeegemea upande mmoja na wanawake wanatumia iyo weakness vibaya sana. Hakuna mwanamme anayeweza vumilia kukaa na mwanamke malaya, mjeuri, mwenye kiburi, asiyemsikivu e.t.c eti kisa kafunga naye ndoa.

Maoni yangu ni kwamba turudi kwenye utaratibu wa zamani yaani tuoe na tuzae ila tusifunge ndoa. Ndoa zimekuwa za kitapeli.
Mkuu una akili mingi mno , kuoa na kufunga ndoa ni vitu viwili tofauti , usingetakiwa ukomenti tu huku , ungefungua uzi kabisa mkali.
 
Umeweka hoja nyepesi sana zisizokidhi wala kuakisi kile nilichokiandika.. Ngoja nimalizie mada kwanza nitakurudia
Hizo sio hoja wewe ndio umeweka hoja kwamba vijana hawataki kuoa. Ukaweka na sababu ambazo wewe unahisi ndio zinafanya vijana hawataki kuoa.

Unfortunately Sababu ulizoorodhesha hazikua na mashiko ndio mimi nikaja kuzipinga na kukuonyesha kwamba sio hivyo. Huwezi kujisifu kwamba nyie mlikua mnatembea kilometa 20 halafu useme eti sisi hata 1km tunapanda boda.
Nikuulize

Hizo km 30 mlizokua mnatembea mlizitembea mkiwa mnapenda au kwasababu usafiri ulikua ni shida.? Wazee kama nyie ndio mnaonaga kiteseka kwa watoto ni sifa eti kwakua nyie mlilalia mkeka basi na watoto walalie mkeka. Kila era na mambo yake.

Point nilizonukuu kwako pale juu hazina mashiko kabisa.
 
Ila wazee wa zamani mna mambo nyie...Mentality yenu ipo stagnant kama Policies za French kutawala afrika. Let me break it down for you.

Zamani mlilima hivyo kwakua trekta na plau zilikua chache. Sasa hivi trekta zimejaa tele kwanini tulime kwa jembe la mkono. Teknolojia ya mwaka 10000 BC

Mlitembea hivyo sio kwa kupenda usafiri ulikua shida...kama bodaboda zingekuwepo hata nyie msingetembea umbali huo

Ni uamuzi wa mtu... Organic drink n food zipo. Hata nyie kama Mo energy zingekuwepo mngekunywa. Enzi hizo mlikua mnasafiri kwemda huko ili tu mpate soda.

Tutafanyaje kazi za jasho wakati maisha ya sasa ni tech based kila shughuli zipo ipo computerized. Hata nyie hamkupenda kuzifanya. Sema hamkua na options

Wala hizo sio sababu za kukataa ndoa kabisa. Maisha is about to chabge and adapt. Nyie wazee mnataka tuishi kama tupo karne ya 20.zamani chakula kiliwatosha coz mlikua watu wachache nchini ndo maana kuku wa kienyeji mliweza kusubiri ikae miezi 6. Sasa hivi tuko 60+ unategemea hao kuku watatutosha??? Lazima broiler na GMOs food zihusike.

Acheni kutufosi tuishi maisha yenu nyie wazee hata nyie mliyaishi bila kupenda

Ps. Mimi sipingi ndoa... tena kwa caliber yangu siwezi ishi bila partner so Sikupingi hoja yako ila nakupinga point ulizoweka kutetea hoja yako.
#Ndoa muhimu #Kubali ndoa

Asante kumajibu huyo mzee,atambue kila zama na watu wake na maisha yao,huwa na shangaa sana hata wanao amini histori za wazeee wazamani waliokufa na kusahaurika kupitia vitabu vya dini,watu ambao hawajua hata gari wala smartphone zinafafanaje,eti tuishi maisha waloishi wao huo ni upuuzi,natamani hata dini zije mpya zinazoendana na maisha ya sasa.
 
Hizo sio hoja wewe ndio umeweka hoja kwamba vijana hawataki kuoa. Ukaweka na sababu ambazo wewe unahisi ndio zinafanya vijana hawataki kuoa.

Unfortunately Sababu ulizoorodhesha hazikua na mashiko ndio mimi nikaja kuzipinga na kukuonyesha kwamba sio hivyo. Huwezi kujisifu kwamba nyie mlikua mnatembea kilometa 20 halafu useme eti sisi hata 1km tunapanda boda.
Nikuulize

Hizo km 30 mlizokua mnatembea mlizitembea mkiwa mnapenda au kwasababu usafiri ulikua ni shida.? Wazee kama nyie ndio mnaonaga kiteseka kwa watoto ni sifa eti kwakua nyie mlilalia mkeka basi na watoto walalie mkeka. Kila era na mambo yake.

Point nilizonukuu kwako pale juu hazina mashiko kabisa.
Kwa sababu yesu alipanda punda na mtume ngamia , wachungaji na mashee wapande punda na ngamia?
 
Ni aibu Mwanaume mwenye akili timamu kukataa ndoa kwani ndoa ni ibada, mtu akisema anajipanga kwanza aoe hapo tutaelewa au akisema muda ukifika ataoa hapo sawa lakini wanaokataa ndoa hawana hoja kabisa,
Ndoa ni ibada kwenu. Usilazimishe wote tuamini unachoamini wewe.
 
Hii mada ya kataa ndoa inabidi ijibiwe kwa hoja, hawa vijana wanaoikataa ndoa ukute wana mantiki kubwa sana, inaitaji umakini mkubwa sana kuwaelewa na kuweza kujibu hoja yao ya msingi.

Kwa mimi binafsi nadhani kuna utofauti kubwa kati ya kuoa na kufunga ndoa.

1. Naanza na kuoa.

Wazee wetu wa zamani walikuwa wanaoa siyo kufunga ndoa. Ndiyo maana familia zao ziliweza kuishi kwa amani kubwa sana na kuheshimiana tofauti na sasa. Mwanamke alikuwa ana adabu kubwa na anamtii mme wake. Hakukuwa na tamaa za mali ambazo kwa asilimia kubwa zinavunja familia. Mwanamke alijua anatoka kwao anaenda kuolewa na kuanzisha familia na siyo kuchuma mali.

2. Ndoa
Ni upgrade ya kuoa ikiwa na maana hii ifuatayo.
Tafsiri ya ndoa za kipindi hiki ni kama ajira ama taasisi ya biashara yaani startup ambayo founders wawili kila mmoja ana share ya 50% ya ownership. Ambapo anytime founder yeyote anaweza kuharibu hiyo taasisi iliyoanzishwa na kuondoka na 50% yake. Na hii imetengenezwa kwa ajili ya favour ya mwanamke, power ya mwanamme ni kama haipo kwenye ndoa. Ndoa imeegemea upande mmoja na wanawake wanatumia iyo weakness vibaya sana. Hakuna mwanamme anayeweza vumilia kukaa na mwanamke malaya, mjeuri, mwenye kiburi, asiyemsikivu e.t.c eti kisa kafunga naye ndoa.

Maoni yangu ni kwamba turudi kwenye utaratibu wa zamani yaani tuoe na tuzae ila tusifunge ndoa. Ndoa zimekuwa za kitapeli.
fugaku nimezisoma hoja za vijana ni nyepesi mno na kwakweli hazina mantiki na kuna vitu hawavielewi

1. Wanakataa ndoa kwa tafsiri ya kuwa na vyeti vya ndoa .. Kwamba wako tayari kuishi na mwanamke lakini sio kufunga naye ndoa[emoji38]
sheria inasema ukiishi pamoja na mwanamke kwa miezi mitatu kisheria hiyo ni ndoa tayari.. Hili hawalijui

2. Hawataki/wanapinga sheria ya kugawana mali nusu kwa nusu . . huu nao ni woga wa kijinga kabisa na kukosa kujiamini.. Hivi unafunga ndoa ili muachane? Kwahiyo ndoa inakufa hata kabla hamjaanza kuishi pamoja kwakuwa badala ya kujenga familia mnawaza kugawana mali mkiachana

3. Kiburi cha wan awake
Ndoa sio kitu cha kukimbilia wengi wanakutana na mabinti huku mijini na kabla hawajafahamiana vema ndoa hii hapa! Ukiingia huko ndani ndio unakutana na mengine mengi
 
Back
Top Bottom