Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Hakuna anaepinga kuoa na kujenga familia, kinachopingwa ni ndoa,[emoji3064]

Aliyeelewa naomba anieleweshe

Hakuna anaepinga kuoa
kinachopingwa ni ndoa
Makorokoro ya sheria kandamizi yaliyopo kwnye ndoa yameleta tofauti ya kuoa na ndoa , tunaishi na wanawake bila ndoa kukwepa hayo makorokoro yaliyokaa kitapeli tapeli , hawa wanawake hatuna ndoa nao ila mtaa nzima wanajua ni mke wa fulani.
 
Ila wazee wa zamani mna mambo nyie...Mentality yenu ipo stagnant kama Policies za French kutawala afrika. Let me break it down for you.

Zamani mlilima hivyo kwakua trekta na plau zilikua chache. Sasa hivi trekta zimejaa tele kwanini tulime kwa jembe la mkono. Teknolojia ya mwaka 10000 BC

Mlitembea hivyo sio kwa kupenda usafiri ulikua shida...kama bodaboda zingekuwepo hata nyie msingetembea umbali huo

Ni uamuzi wa mtu... Organic drink n food zipo. Hata nyie kama Mo energy zingekuwepo mngekunywa. Enzi hizo mlikua mnasafiri kwemda huko ili tu mpate soda.

Tutafanyaje kazi za jasho wakati maisha ya sasa ni tech based kila shughuli zipo ipo computerized. Hata nyie hamkupenda kuzifanya. Sema hamkua na options

Wala hizo sio sababu za kukataa ndoa kabisa. Maisha is about to chabge and adapt. Nyie wazee mnataka tuishi kama tupo karne ya 20.zamani chakula kiliwatosha coz mlikua watu wachache nchini ndo maana kuku wa kienyeji mliweza kusubiri ikae miezi 6. Sasa hivi tuko 60+ unategemea hao kuku watatutosha??? Lazima broiler na GMOs food zihusike.

Acheni kutufosi tuishi maisha yenu nyie wazee hata nyie mliyaishi bila kupenda

Ps. Mimi sipingi ndoa... tena kwa caliber yangu siwezi ishi bila partner so Sikupingi hoja yako ila nakupinga point ulizoweka kutetea hoja yako.
#Ndoa muhimu #Kubali ndoa
sikutegemea kama huyu legend atakuja na hoja dhaifu kiasi hiki!
pia kuna thread nilimwambia anahoja dhaifu sana,ona sasa wadau wanamvua nguo

Hata mimi sipingi ndoa ila hawa watetezi wetu wa ndoa wanahoja nyepesi sana tofauti na wanaohoji
 
Sehemu ya tatu
Tafsiri potofu, kengeufu kuhusu ndoa
Kama nilivyosema ndoa ni ya watu wawili wenye akili timamu na wanaojitambua na kuamua kuingia kwenye hiyo ndoa
Sasa lazima kujaliana, kupendana, kuheshimiana, kuvumiliana kuwepo.. Hakuna mkamilifu kati ya wawili kila mmoja ana mapungufu yake.. Chukua mazuri ya mwenzako na mapungufu yake yapime kama yanabebeka ama la na kama yanarekebishika.. Wengi hushindiwa hapa

Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana linapokuja kwenye swala zima la hisia na upendo ni mwepesi kuumia lakini pia ni mwepesi kusamehe na kuendelea kuvumilia
Anapofika mwisho wa uvumilivu ndio naye huamua kufanya yanayoitwa usaliti.. Pole moja tu kwa mtu baki inaweza kuhamisha hisia zake zote

Mpe mwanamke kila kitu lakini usiache kumtimizia mahitaji yake ya kingono, kumuonesha upendo, heshima na kumjali..
Kuna wanawake ni 'wabaya' kutokana na background yao! Hawajawahi kupata upendo ama heshima.. Wakichukuliwa ni chombo cha starehe ..hawa ukiingia nao kwenye ndoa unapaswa kuwekeza hasa hisia zako kwake ukikosea tuu kidogo kampeni ya kataa ndoa inakuhusu
mshana

Zama zimebadilika sana.

Unachoandika ni "ideal" ama "laboratory situation". Kwa ground mambo ni tofauti sana.

Maoni yangu:
1. Kampeni ya kukataa ndoa ni kampeni hasi. Msingi wake ni dini inayokua wakati huu (satanism).

2. Kitabu kikongwe Bible kimeandika nyakati hizi za mwisho (escatolojia) machukizo mengi yatatukia. Kwamba mambo mengi kinyume na kusudio la mwenye kuumba mbingu na nchi yatatamalaki.

3. Yaliyojiri kule Sodoma, Gomora na Ile miji miwili Zama hizi yatatukia Dunia mzima. The worst is yet to come.

4. Wenye Imani wasichoke kukemea machukizo.

Kifupi niseme,vita dhidi ya ndoa ndio vita ya msingi kabisa ya Shetani. Anajua ndoa ndio muujiza wa kwanza kabisa wa Muumba. Anajua ndoa zikiwa na amani Watu watamsifu na kutumkuza Mungu kwenye ndoa. Hili jambo Shetani hakubali kamwe.

Hii vita haijaanza kabisa. The worst is yet to come.
 
fugaku nimezisoma hoja za vijana ni nyepesi mno na kwakweli hazina mantiki na kuna vitu hawavielewi

1. Wanakataa ndoa kwa tafsiri ya kuwa na vyeti vya ndoa .. Kwamba wako tayari kuishi na mwanamke lakini sio kufunga naye ndoa[emoji38]
sheria inasema ukiishi pamoja na mwanamke kwa miezi mitatu kisheria hiyo ni ndoa tayari.. Hili hawalijui

2. Hawataki/wanapinga sheria ya kugawana mali nusu kwa nusu . . huu nao ni woga wa kijinga kabisa na kukosa kujiamini.. Hivi unafunga ndoa ili muachane? Kwahiyo ndoa inakufa hata kabla hamjaanza kuishi pamoja kwakuwa badala ya kujenga familia mnawaza kugawana mali mkiachana

3. Kiburi cha wan awake
Ndoa sio kitu cha kukimbilia wengi wanakutana na mabinti huku mijini na kabla hawajafahamiana vema ndoa hii hapa! Ukiingia huko ndani ndio unakutana na mengine mengi
Ukiishi na mwanamke miezi mitatu umefunga ndoa sawa ,ila utakapo kuwa mahakamani kwa sheria za ndoa hii kesi nashinda mapema kama sijasaini pahala. Ingekua hyo sheria ina nguvu wala hakuna mwanamke angelazimisha kufunga ndoa , kuwa na ndoa ya vyeti alafu mwache hyo mwanamke ishi na mwingne miaka kumi bila cheti , alafu yule wa cheti aende mahakamani uone kama hakimu atakuambia ww una wake wawili.
 
Makorokoro ya sheria kandamizi yaliyopo kwnye ndoa yameleta tofauti ya kuoa na ndoa , tunaishi na wanawake bila ndoa kukwepa hayo makorokoro yaliyokaa kitapeli tapeli , hawa wanawake hatuna ndoa nao ila mtaa nzima wanajua ni mke wa fulani.
Sheria inasema ukiishi na mwanamke pamoja kwa siku 90 hiyo ni ndoa tayari hivyo hakuna excuse ya kuwa huyu hakuwa mkewangu kwakuwa hatuna cheti... Je hili mlikuwa mnalijua?
 
Sheria inasema ukiishi na mwanamke pamoja kwa siku 90 hiyo ni ndoa tayari hivyo hakuna excuse ya kuwa huyu hakuwa mkewangu kwakuwa hatuna cheti... Je hili mlikuwa mnalijua?
Hyo kesi ya hivyo mahakamani naishinda mchana kweupe bila haki sawa kandamizi kunitafuna.
 
Ukiishi na mwanamke miezi mitatu umefunga ndoa sawa ,ila utakapo kuwa mahakamani kwa sheria za ndoa hii kesi nashinda mapema kama sijasaini pahala. Ingekua hyo sheria ina nguvu wala hakuna mwanamke angelazimisha kufunga ndoa , kuwa na ndoa ya vyeti alafu mwache hyo mwanamke ishi na mwingne miaka kumi bila cheti , alafu yule wa cheti aende mahakamani uone kama hakimu atakuambia ww una wake wawili.
Kwa nini mnawaza zaidi kuachana badala ya kuwaza kuishi pamoja mpaka kifo kitakapowatenganisha? Mnahofia nini hasa?
 
Hyo kesi ya hivyo mahakamani naishinda mchana kweupe bila haki sawa kandamizi kunitafuna.
Kwanini ifike mahali uende mahakamani? Je ni vipi kama sehemu kubwa ya mali kachuma mwanamke?9
 
Sasa vijana wetu wa kisasa
Hamfanyi kazi za jasho
Chakula chenu chips kuku broiler na mayai yake
Vinywaji vyao ni hivi vya kuua nguvu ..ni haki kukataa ndoa

[emoji115]
Hapo bado punyeto
 
Hata uwe na nguvu za kiume za kutisha, huwezi mtawala mwanamke kahaba au mwanamke aliyekuzidi pesa. Mtu katembea na wanaume 10 unataka kumhandle?
Mbona wanaume wa zamani kama Nabii Hosea licha ya kuwa na nguvu nyingi ila alisalitiwa na Gomeri mkewe?
Mwanamke mwema ni product ya malezi Bora tu.
NGUVU za kiume ni chachu kwenye ndoa hilo halikwepeki kusalitiwa kuna viasili vingi
 
Ndoa ni nzuri ni baraka. ila kila mtu machaguzi yake. Hata Mungu hajaumba watu wote waoe. Ila ndoa ni jambo jema na iheshimiwe..
JamiiForums1415471759.jpg
 
Back
Top Bottom