Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Kwa wengine ni mwiba wa mbigili [emoji23]

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanapingana na Mungu ndoa ni baraka mnakataa ndoa mna halalisha upinde au sio? Acha mmalizwe na WA WEST halafu akili zikirudi 2070 mtaenda kutubu juu ya makaburi ya mababu zenu #Mungu hazihakiwi # Mungu akiruhusu jambo hapingwi, ndoa ni tendo takatifu na ni baraka Glory to God napinga ma Antichrist.
 
Wasalaam!
Hapo Juu ipo vyema kabisa na isomeke hivo, mwanaume nendeni mkadate na wafemenia, tena hao hao wanaofanya movement, kama Ukitaka ustawi, kupumzika,amani na kutimiza calling yako hapa dunia. Why?

1. Kiuchumi. Bro, ukidate mfemenia halisi (acha hawa wanaojiita wafemenia harafu wanategemea mfuko wako ku push dreams zake,kupendeza na kuishi town). Utasave fedha na resources zako, hutoumiza kichwa kumlipia mtu kodi au kupush dreams zake huko zako zimepoa. Mkienda outings bills zikija kila mtu ashinde mechi zake. " Babe i miss u, can we Go out" ( Muulize umejipangaje [emoji1787]).
Ikija swala la uchumi ku share bills nk haitokufanya uanze kufanya kazi mbili au tatu ili kutunza mahusiano.

2. Amani ya moyo. Hakuna atayekujaji kwa kutokupendeza kwa lady wako, nani atakusemesha nakuacha kwa ajili ya U DON'T PROVIDE FOR ME ( Maana kila mtu anajilinda). Mashemeji, mashost wa mwanamke virungu vitapungua. Siku ukiamua tu ukampa hata Laki ataithamini, sio now ukiituma Unafokewa mbona hujaweka na ya kutolea.

3. Anytime unaweza Vunja uhusiano bila hofu yeyote, like ntapoteza mali au mchezo wa wanawake ku date na mwanaume kwa ajili ya status au faida yeyote. U can always run bila kusumbuka, kama Kenya tu now mkiachana kila mtu atachukua alicho chuma, Hiii ni Unyamaaa sanaaa [emoji1787].

4.Unataka kuwa na muda wa ziada? Date mfemenia. Always atakuwa anahangaika na ishu zake mwenyewe, Uhitaji kila saa kuangaika na mambo ya mtu as now ni compulsory ili uonekane mwanaume uvimbe ujitoe hadi tone la mwisho. HEY, NENDA NJE KAANGALIE KUNA ,USIKU NOW NASIKIA KUNA MTU ANAFUNGUA MLANGO, JANA NILITOKA MIMI.

5.Aibu ndogo ndogo utakwepa, Mkeo akiyakanyaga sio lazima uende kuingilia ugomvi usio kuhusu, Superwoman acha amalize shoo zake. Si unajua wanaume wenzio hawapig wanawake wakigombana public? Ila ukiingilia tu [emoji109]. Akiyakanyaga unasema HONEY malizana naye.

6. When it comes kuhusu kazi zs home majukum, Sio ngumu kutenga 100k, kumpa housegirl wako mwenyewe awe anafanya kazi zako tu, kufua, pas,kupika etc boss ukisema si unasikilizwa?

7.Equal chance ktk sheria, nk. Zile sheria zinazo favor wanawake zifutwe coz we are equal, no favor ya jinsia, Kuwa femenist usije [emoji116]


Credit: merengo


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mapenzi ya jinsia moja sio haki za binadamu, nchi hii tulitungiwa sheria na Waingereza mwaka 1934 ya kupiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, hiyo sheria ikaongezwa makali mwaka 1959, 1998 ikaongezwa makali zaidi na kuongeza vifungu maalum vya makosa ya ngono" @TunduALissu
20230415_071814.jpg
 
Kama mwanaume , lengo langu kwa sasa siyo kuwa na furaha tena ,/pekee lengo lang ni kuwajibika kwa kila ninalolifanya na kila linalonihusu , linalonikabili
 
Rashidi Hussein Mkayala Mkazi wa Mtaa wa Gemu Kata ya Mwanga Kusini Manispaa ya Kigoma Ujiji amejinyonga kwa kutumia kilemba chake cha kichwani muda mfupi baada ya kumuua Mke wake, Bernadeta Cosmas(33) kwa kumnyonga chanzo kikitajwa kuwa ni mgogoro ndani ya ndoa yao.

Mwenyekiti wa Mtaa huo, Buswalu Mulumbu Mkama ameiambia #AyoTV kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro uliotokea siku za nyuma ambapo Mke wa marehemu alifika kwa Mwenyekiti na kutoa taarifa ya vitendo vya Mume wake kuchukua vitu vya ndani na kuuza ambapo mara kadhaa kesi zao zilikuwa zikipelekwa kwake kwa ajili ya usuluhishi.

Mwenyekiti huyo amesema siku moja kabla tukio Mwanamke huyo alilala nyumbani kwake baada ya kukimbia nyumbani kwa Mume wake kufuatia kipigo alichopata kutoka kwa Mume wake ambapo katika tukio hilo alidai kunusurika kuuawa baada ya kukabwa shingo na waya wa umeme na alipopata nafasi ya kuchomoka alikimbia na kukimbilia kwa Mwenyekiti wa Mtaa.

Uchunguzi wa awali wa tukio hilo umeonesha kuwa Rashidi Hussein alimnyonga Mke wake kwa mikono hadi kumuua na baadaye kutoka nje ambapo alifunga mlango kwa nje na kurudi ndani kupitia dirishani ambapo alifunga milango yote na madirisha na yeye kujinyonga kwa kitambaa cha kichwani. #MillardAyoUPDATES
FB_IMG_1708645606519.jpg
 
min -me nimetimiza ahadi mada hii hapa..!

Kila kitu huwa na mwanzo huwa na chanzo, vijana walianza kulalamika siku nyingi wakitafuta ushauri huku na kule.. Wengi walikatishwa tamaa na aina ya ushauri waliopewa na wakubwa.. Haukuwa na weledi
Masaibu yao hasa yalikuwa kwenye vipengele hivi
Kushindwa kuwaridhisha kingono wapenzi wao
Uraibu wa punyeto
Hisia za ushoga
Hofu na kukosa kujiamini mbele za watu
Uwezo mdogo wa kutongoza
Uwezo mdogo wa kushindwa kumhudumia mwanamke
Kuchapiwa na wenye uwezo umaarufu nk

Haya yakapita bila ushauri wa maana.. Lakini hapohapo likaibuka la kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ! Dawa za asili na hata za kigeni.. Malalamiko yalipungua kwa kiasi kikubwa lakini ilikuwa suluhu ya muda mfupi tuu

Likaja la mauaji ya wapenzi, chanzo kikubwa kikiwa ni uaminifu na usaliti hili lilitrend sana miaka hii miwili iliyopita sambamba na vijana wengi kuingia kwenye ushoga

Mwaka huu wa 2023 mambo yamegeuka ama yameongezeka.. Hakuna kuomba ushauri tena, hakuna kutumia dawa tena bali ni kampeni ya kataa ndoa! Hili nalo litapita lakini sijui litaacha madhara kiasi gani kwa vijana na pia baada ya hili sijui litakuja lipi lingine

Kwenye mada zilizopita nimelaumiwa kwa kuishi kikale kwenye usasa na kwamba nashindwa kuona uhalisia wa maisha ya leo ambayo ni tofauti kabisa na ya jana.. Siwalaumu kwakuwa vijana wa sasa ni wasahaulifu kupita maelezo maana kama ni mada za maonyo na ushauri nimeandika sana

Baada ya kusema hayo hebu tuangalie changamoto wanazokutana nazo vijana wa kisasa mpaka wanaona ndoa ni kitu kisichofaa tena

1. Ukakamavu na afya ya mwili
Ukakamavu na afya njema ya mwili huchangia ukakamavu na afya ya misuli ikiwemo uume
Vijana wengi siku hizi si wakakamavu kutokana na usasa na aina ya vyakula na vinywaji
Zamani tulilima mashamba makubwa ya familia ndugu na jamaa siku hizi ni vijana wangapi wanaweza kulima hata roho heka?
Zamani hakukuwa na bodaboda hivyo tuliyembea muda mrefu hata kilometres 30 kwenda na kurudi, siku hizi kilometre moja kijana anapanda boda
Zamani hatukuwa na vyakula vya kusindika siku hizi kila kona ndio fasheni
Zamani vinywaji vilikuwa ni vya kujenga mwili siku hizi vinywaji vinamaliza nguvu
Hakuna kitu kinaleta afya ya mwili na misuli kama mzunguko mzuri wa damu mwilini
Sasa vijana wetu wa kisasa
Hamfanyi kazi za jasho
Chakula chenu chips kuku broiler na mayai yake
Vinywaji vyao ni hivi vya kuua nguvu ..ni haki kukataa ndoa

Nitaendelea
Duuuh
 
Back
Top Bottom