Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Kila la kheri walimu wapya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
afya?Jana mtandao ulikuwa unateleza tu
May be shule zimeshajaa
Aanze tena na barua kivp mkuuAendee kwenye viambatanisho aondoe ile barua, then arud kwenye uchaguzi wa shule kisha aanze na barua then amalizie kuchagua shule akimaliza hapo anarefresh page
Kazi inakuwa imeisha
Yeye ana apply kwenye afya mkuuAendee kwenye viambatanisho aondoe ile barua, then arud kwenye uchaguzi wa shule kisha aanze na barua then amalizie kuchagua shule akimaliza hapo anarefresh page
Kazi inakuwa imeisha
Tutaona it seem you disrespect professional
Bad credentials, it's means password sio sahihi so akumbuke password vizuri au aibadilishe tuu ambayo nayo ni simple procedureKila akiweka username na pasword anaambiwa unauthorised user/bad credentials...Msaada katika hili wakuu
SsGood Luck young man.
Watakuja wanaoweza kukupa msaada.
Good Luck young man.
Watakuja wanaoweza kukupa msaada.
Samahani ndugu kwa upande wa afya ngazi ya msaidizi was afya nakiweka Nina LA chuo sehem ya college na coz nakiweka sielew inasumbua hasa kwa msaidizi was afya msaada plzBarua ya maombi ya kazi
System inakataa kubadili paswordBad credentials, it's means password sio sahihi so akumbuke password vizuri au aibadilishe tuu ambayo nayo ni simple procedure
Unauthorised user hapo form four index number haipo sahihi angalie vizur kama namba ameandika fresh
Anabadilisha vp paswrd maana kila akitaka kubadili anaambiwa failed to change paswrd.Ana siku ya tatu leo anakwama katika hiloBad credentials, it's means password sio sahihi so akumbuke password vizuri au aibadilishe tuu ambayo nayo ni simple procedure
Unauthorised user hapo form four index number haipo sahihi angalie vizur kama namba ameandika fresh
Mkuu ata mm nimejalibu kubadili password lkn inagoma