Yaan mtu aanze ukahaba na umalaya kisa alinyanyaswa kingono na lecturer? Hao walishakua na hizo tabia kabla, wasitake kusingizia wengine.Ndio maana nikasema hiv kabla ya hapo ungeuliza walianzaje?
Sikatai kama wanazo hizo tabia shida ilianzaje?
Akati vyenyewe ndo vinawataka hao walimu, ili wapate kitonga cha pesa na kufaulishwaa, LolRushwa ya ngono vyuoni ni kubwa sana.
Nina videmu virembo kama 4 vya vyuo, mara nyingi vinanipa stori za walimu wao kuwataka wawakule.
Anyway, I once used to be a teacher, tulikua tunaziita hizo kua ni teaching incentives.
Jambo la rushwa ya ngono ni jambo lisiloweza kuisha.
DuuuhKuna mmoja nilimuuliza kuhusu abortion÷alisema kama abortion isingekuwepo mneenda kuokota vitoto vingi maeneo ya chuo,
Hatari sana
Hapa mkuu utaamua tu kubisha tabia yoyote huanza na sababu labda tu uamue kubisha.Yaan mtu aanze ukahaba na umalaya kisa alinyanyaswa kingono na lecturer? Hao walishakua na hizo tabia kabla, wasitake kusingizia wengine.
Wewe ushawahi kupata hicho kitonga?Akati vyenyewe ndo vinawataka hao walimu, ili wapate kitonga cha pesa na kufaulishwaa, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una dada yako ambae ameamua kufanya hivyo?Hapa mkuu utaamua tu kubisha tabia yoyote huanza na sababu labda tu uamue kubisha.
Kisaikolojia hilo si jambo la kushangaza mtu kupitia unyanyasi wa ngono na kujikuta amejikatia tamaa haoni tena thamani ya mwili wake na atafanya maradufu.
Sijawahi na sikuhitaji pia.Wewe ushawahi kupata hicho kitonga?
Dada wa damu? Dada rafiki? Kuwa specific?Una dada yako ambae ameamua kufanya hivyo?
Hawa dada zetu wanakuwa na ufaulu mzuri ila wajinga wenye tamaa wanataka kufanya nao ngono...Hili suala la ngono wanaume ndio chanzo ...Huu ni ukweli.
Huwa tunaanza kuangalia juu ya tatizo kabla ya kiini
Huko kwenye ajira ndio usiseme mwanamke akikuta mwanaume ni HR au boss hio imeisha hapo kupata kazi mpaka rushwa ya ngono.
Kwenye mahotel ndio usiseme.
Wanaume kichwa cha chini ndo kinatupeleka kuliko cha juu
Hii ya kunyanyaswa kingono ilikuwa zamani,sasa hivi mabinti wenyewe wanawagombania wahadhiri! Nenda UDSM na vyuo vingine yaani ni kutegana!mabinti zenu ndo konkodi wa kuwatega na kuwawinda hao wakufunzi ili wapate kitonga cha pesa na kufaulishwa.
Wewe sema ni dada wa nini wa maji?Dada wa damu? Dada rafiki? Kuwa specific?
Sibishi ila nasema ukweli ambao wengi hamuutaki, usitake nikaleta jambo lingine lenye mlengo wa kunyanyaswa kingono, ambapo wengi huwa hawakubali hili.Hapa mkuu utaamua tu kubisha tabia yoyote huanza na sababu labda tu uamue kubisha.
Kisaikolojia hilo si jambo la kushangaza mtu kupitia unyanyasi wa ngono na kujikuta amejikatia tamaa haoni tena thamani ya mwili wake na atafanya maradufu.
Hakika sababu nimeshaona na si Hadith.Sibishi ila nasema ukweli ambao wengi hamuutaki, usitake nikaleta jambo lingine lenye mlengo wa kunyanyaswa kingono, ambapo wengi huwa hawakubali hili.
Kunyanyaswa kingono ndo ticket ya kuwa kahaba na malayaa? Tena zungumzia scenario ya mkufunzi na mwanafunzi wake?
Wa maji ni yupi?Wewe sema ni dada wa nini wa maji?
Hapo UDSM nimeishi for few years, naelewa kila kitu. Na nnachokisema ninakijua na mimeshuhudia, wala sijahadithiwa.Hii ya kunyanyaswa kingono ilikuwa zamani,sasa hivi mabinti wenyewe wanawagombania wahadhiri! Nenda UDSM na vyuo vingine yaani ni kutegana!
Nafikiri moja ya sababu ya kupiga marufuku mavazi yasiyofaa pale UDSM ni kupunguza hali hii!
Unataka kupelekwa kitonga?Sijawahi na sikuhitaji pia.
Tia majiWa maji ni yupi?
Wapo wanaojitegesha wenyewe mzeeHawa dada zetu wanakuwa na ufaulu mzuri ila wajinga wenye tamaa wanataka kufanya nao ngono...Hili suala la ngono wanaume ndio chanzo ...
Wanawake wanakosa haki yao kisa watu weny tamaa za ngono...Unakuta boss katembea mpaka na wafanya usafi ili awape kibarua...
Kwa hio UDSM wanafunzi wanawatega walimu?Hapo UDSM nimeishi for few years, naelewa kila kitu. Na nnachokisema ninakijua na mimeshuhudia, wala sijahadithiwa.
Siutaki unafiki mie, nasema ukweli.
Hili kila mtu analijua.Hawa dada zetu wanakuwa na ufaulu mzuri ila wajinga wenye tamaa wanataka kufanya nao ngono...Hili suala la ngono wanaume ndio chanzo ...
Wanawake wanakosa haki yao kisa watu weny tamaa za ngono...Unakuta boss katembea mpaka na wafanya usafi ili awape kibarua...