cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Yaan mtu aanze ukahaba na umalaya kisa alinyanyaswa kingono na lecturer? Hao walishakua na hizo tabia kabla, wasitake kusingizia wengine.Ndio maana nikasema hiv kabla ya hapo ungeuliza walianzaje?
Sikatai kama wanazo hizo tabia shida ilianzaje?