Tanzania bado hamjakoma tu, mmetumbukiza ma trilion ya shilling kutengeneza chanzo kingine cha umeme wa maji, hivi mpo sawa kweli upstairs? wakati mna Gesi ya kumwaga, Makaa ya mawe ya kumwaga, mna Upepo wa hatari na pia mna jua kali ni balaa, vyanzo hivi vyote mmeona havifai si ndiyo.
CCM hebu acheni kutesa wananchi, hivi wamewakosea nini kulala gizani na kuoga kwa zamu ? afu kila siku mnaita wawekezaji wakati yaani na wao waje kuoga wa zamu kama sisi?
Halafu hilo Train la umeme litatembeaje kama hakuna umeme wa uhakika 100% au mtalifungia majenerator muweke na vituo vya kujazia huko njiani?