Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako

Siku hizi vijana hawatoi mbegu zao.tunazaa tu na wahenga
 
Wewe bana tu sperm zako bna.wacha watu watoe mbegu
It's not even about that.

It's about unataka kuzaa bila kufikiri kama sungura ama unataka kufikiri dunia ijayo itakuwaje?

Ni haki yake, hilo halina mjadala.

Ila, kwa kuwa kaleta "humble brag" yake hapa, ni wajibu kutoa tunayofikiri.

Watoto 9 dunia ya leo kwani kuna mashindano ya kuzalisha?
 
Pasco., na hao wengine wengi waliobaki zaidi ya hao uliowataja? Unaishi nao nyumba moja leo hii?.
Yes wote niliishi nao nyumba moja but they are in different stages. Wale wakubwa wawili wa mwanzo, both are independent na both family zao na nina wajukuu.
Bongo 2, wote watatu wako university level, wanakaa hostel na wakimaliza ni independent.

Bongo 3 ndio waliopo home kwa sasa,
ndiyo maana hata teuzi hupewi.
Kuna uhusiano gani wa teuzi na familia kubwa?!. Was there any moment Pasco Mayalla aliwahi kufukuzia teuzi?.
Na Freemason membership sahau kama ulikuwa una mpango nayo.
Freemasonry what for?!.
Why have all these kids, with 3-4 different moms? .
Mimi ni devout Christian, jee kwenye Bible, is there any limit number ya how many women a man should have?.
Hata ku-bond nao inakuwa taabu.
Kuna vitu huwezi jua kuhusu bonding, kuna bonding za kizungu na bonding za kiafrika. Ukikatana na an African man who can date several ladies, ujue he can also bond with 10 kids!.
Ungekuwa USA ungefungwa sababu ungeshindwa kulipa child support kwa watoto wote hao.
Nimeishi UK na US, hata hiyo fellowship yake bado pesa ya nyumba na kuendeshea familia nimelipa mimi!. Hao watoto wote 8, hakuna aliyesoma St. Kayumba!. Kila aliyefika 21 years among the present ni driving license with...(naomba nisiendelee nikaonekana na brag), sasa ni child support gani hiyo ningeshindwa kuilipa hadi nifungwe?.

Watu humu tunajuana ki jf jf, but very few we hardly know one another for real.

Tutendee kujuana tuu hivi hivi ki jeiefu jeiefu.
P
 
Hongera sana , lakini hakukuwa na haja ya kuandika essay.
 
Huwezi kuwa na watoto 9 na wamama tofautitofauti, halafu wote ukawapa same headstart in life kwa maana ya huduma, malezi, upendo, ukaribu nao, etc. kwa kipato chako hicho hicho unachokitegemea miaka na miaka. Utawaachia nini siku ukifa watoto wote hao?
 
Watoto 9?? Ana nafasi yake special mbinguni.ni kutesa watoto
 
Happy Birthday Mayalla na hongera kwa kupata kijana, history yako ni nzuri Ila Kuna mwaka Pamba sport ya Mwanza kulikuwa na mchezaji akiitwa Pasco Mayalla je ni wewe au majina kufanana tu?
 
This is where masikini wa roho kama wewe go wrong!. Unaamini kuwaachia watoto mali, ndio kuwasaidia!. Mimi mwenyewe kwetu tumezaliwa 8, na hakuna yeyote aliyefanikiwa Kwa kutegemea kaachiwa nini!. Urithi pekee wa kuwaachia watoto sio mali, ni elimu. Baada ya kueleza wale 8, hakuna aliyesoma St.Kayumba, naomba itoshe ili nisi brag!. Maadam mimi jina langu ni brand name, just keep listening to brand Pascal Mayalla, utawajua tuu wako wapi and who are they!, hakuna anayeachiwa mali yoyote zaidi ya good education, the rest watajibeba!, hata huyu Pascal Mayalla Jnr, hatasoma St. Kayumba, kwa kipato hicho hicho unachodhani nakitegemea!.
P
 
Watu tumeona vivid examples jinsi wanaume waliozaa uzeeni wanavyohangaika na watoto wadogo...anyway utajiju its your life,its your choice
 
Watu tumeona vivid examples jinsi wanaume waliozaa uzeeni wanavyohangaika na watoto wadogo...anyway utajiju its your life,its your choice
This is the reason behind kupandisha bandiko hili, limefuatiwa na makala ya kina kwenye Nipashe la Leo, na kipindi cha TV cha uelimishaji umma kuhusu secure investment kwa wastaafu watarajiwa kitafuata na naamini kitasaidia wengi.

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…