Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Levo 4 japo mm sio satifiketiJamni msada kwa mtu wa certificate in primary education
NTA level...tunajaza nni
Sawa mkuuAndika kma ilivyoandikwa kwenye cheti husika
ShukraniLevo 4 japo mm sio satifiketi
Chief maombi ya tamisemiTamisemi au Wizarani?
Ahaa poa mkuu, bado kuna tatizo sana kwenye mfumo wa TamisemiChief maombi ya tamisemi
Mfumo unazingua sanaAhaa poa mkuu, bado kuna tatizo sana kwenye mfumo wa Tamisemi
Hufungua pages haraka kuliko PC, ila kwa simu yataka ujuzi zaidiKwa nini utumie simu, jamani kweli Bongo nyoso
Nakataa sababu zako.
Hivi Amazon, ebay zilizotapakaa Dunia nzima na kutumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, huu usumbufu mbona haupo huko? Kama ni wingi wa watumiaji basi Amazon ingekuwa na foleni isiyo na kifani kwani inawatumiaji wengi sana.
Mbona page ya Wizara ya Afya iko vizuri hamna tatizo kama huku Tamisemi. Ma IT wa Tamisemi wanakwama sana
πΎπππ π’ππππππ ππππ π ππ₯, πππ π πππ§π ππ ππππ πππ’π πππ βπ πππ§π ππππ π ππ₯.Jamani naomba ujuzi kile kipengele cha Pili. Secondary pale tunajaza four or six.? Pia Mimi mwaka wa kumaliza Haufunguki? Naomba muongozo
View attachment 2197932
πππππππππππ€π ππ’π€ππππππ π€ππ‘π’ π€ππ€πππ π’πππππ’.kuna alofanikiwa kutuma maombi kweli
Niko hapa mkuu! Wengi tu wamefanikiwa.kuna alofanikiwa kutuma maombi kweli
nakuja pmπππππππππππ€π ππ’π€ππππππ π€ππ‘π’ π€ππ€πππ π’πππππ’.
afya au elimuNiko hapa mkuu! Wengi tu wamefanikiwa.
AFYA AU elimu/ umeandika namba kama ilikokua kwenye cheti? pengine umekosea kwenye acreditationJamani mm nikiandika registration number kwnye elimu yachuo inaandika no data found
KOZI GANI? JARIBU NECTA MKUU mimi nimeomba nacte imegoma tcu imegoma nimetumia necta imekubaliAfya ndgu najaribu kwa tcu aileti chochote kwa nacte ndio no data found