Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tufafanulie mkuuHizi ajira mwisho wa siku wapo watakaoleta nyuzi. Kuna siasa kali hapa!
Ushamaliza kuombatufafanulie mkuu
Password iwe hvi,mfano Suzuki7@ iwe na capital na Small letter na hivyo vialama
NIPO mtandaoni muda huu inaload tuuu sijafanikiwaUshamaliza kuomba
vipi wewe umeshamaliza kuomba...?Password iwe hvi,mfano Suzuki7@ iwe na capital na Small letter na hivyo vialama
AISEE ata huku ni hivyo hivyoNipo hapa nakomaa lakini wapi ina load pasipo na ukomo
Kazi kweli kweli. Ngoja nilale tu. Mana nimevuta subira wapi, kazi tunayo system ina load bila ya kuonesha dalili za ku login hatari. Unakodoa macho hadi unajikuta unakosa nguvu sasa😎😎AISEE ata huku ni hivyo hivyo
Naona na kwangu pia imeleta kama kwako. Embu nione kinachojiri hapa...KWA mbali matumaini yameanza kujionyesha baada ya kungoja kwa zaidi ya lisaaView attachment 2195924
muda huu imeniandikia unauthorized kwa akaunti ambayo mchana nilikuwa naweza kuingia....hii system yakiboya sanaKazi kweli kweli. Ngoja nilale tu. Mana nimevuta subira wapi, kazi tunayo system ina load bila ya kuonesha dalili za ku login hatari. Unakodoa macho hadi unajikuta unakosa nguvu sasa😎😎
kwanguu imefunguka najazaa taarifa zao sasasaa 8;47 za usiku yani hapo ndio usiku wa manane wenyewe huu sasa baada ya uvumilivu kidogo kumejitokeza mwanagaView attachment 2195927
mfumo unastuck vibaya servers zao zipo downkwanguu imefunguka najazaa taarifa zao sasa
maswali ya nida ni ya kufa mtuNdugu zangu naomba tutumie ukrasa huu kujadi tunazo kutananazo kwenye mfumo wa maombi mpaka hivi leo tarehe 21/4/2022 nimefanikiwa kufungua akaunti mbili tu kwa mbinde sana nilicho kigundua ni lazima ufungue akaunti mpya hivyo...utaingiza email yako kisha itafuata utambuzi wa namba ya UTAIFA. mida ya jioni ya leo 22/4/2022 saa 11:45 jioni nilifanikiwa kuona kipengele cha kuattach file kwenye eneo la shule kimefunguliwa ambapo kuanzia jana nilikuwa siwezi kuattach vyeti.
View attachment 2195644
tuendelee kupeana update hadi kieleweke hakuna kulalaView attachment 2195669
kwanguu imefunguka najazaa taarifa zao sasa
kikubwa ni kujitahidi ukumbuke tu...ukijibu kwa ufasaha umewin...hapo kuna wale wenzangu na mimi watafeli sanamaswali ya nida ni ya kufa mtu