Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

taarifa za shule.JPG
 
Hapo kwenye kujisajili Kila nikitumia email/ namba ya NIDA inanigomea
inaleta notification gani...nahisi unakwama kwenye pasword tu pasword inatakiwa iwe na mchanganyiko wa alama, herufi kubwa, herufi ndogo na namba.... mfano MArco@123
 
Back
Top Bottom