X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pale nilipoulizwa taja kata ulozaliwa 😀 😀 😀 😀 😀kikubwa ni kujitahidi ukumbuke tu...ukijibu kwa ufasaha umewin...hapo kuna wale wenzangu na mimi watafeli sana
hongera kwangu imestuck tena naona ina load aisee hawa jamaaa wanatutesa mno.
Umekamilisha
Hii system Ni Kama ya 2020 yaani mwezi wa kuzaliwa inabadilisha, afu unalazimisha utumie majina matatu ata Kama unayo mawilipale nilipoulizwa taja kata ulozaliwa [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
sasa hapa nimechagua mkoa niliopo ila kwenye kuchagua halmashauri inaniletea halmashauri za dodoma 😂Hii system Ni Kama ya 2020 yaani mwezi wa kuzaliwa inabadilisha, afu unalazimisha utumie majina matatu ata Kama unayo mawili
Useless kabisa huu mtandao,, mtandao wa mwaka Jana ulikuwa vizuri kinyamasasa hapa nimechagua mkoa niliopo ila kwenye kuchagua halmashauri inaniletea halmashauri za dodoma [emoji23]
ILA UTAKAA SAWAUseless kabisa huu mtandao,, mtandao wa mwaka Jana ulikuwa vizuri kinyama
Hapo kwenye kujisajili Kila nikitumia email/ namba ya NIDA inanigomea
si ufungue post yako mbona unatuletea mambo ya instagram....acha mambo ya kitoto kijana
inaleta notification gani...nahisi unakwama kwenye pasword tu pasword inatakiwa iwe na mchanganyiko wa alama, herufi kubwa, herufi ndogo na namba.... mfano MArco@123Hapo kwenye kujisajili Kila nikitumia email/ namba ya NIDA inanigomea
fungua kwa kutumia browser tofauti na unayotumia....tumia opera....chrome ama firefoxHivi ukitimia simu huwezi ee..!? Maana mie hiyo jisajiri iliyopo kulia ata haionekaniView attachment 2196038View attachment 2196039
Tumia chrome, then bofya kwenye vile nukta vitatu then tia tick kwenye desktop site.Hivi ukitimia simu huwezi ee..!? Maana mie hiyo jisajiri iliyopo kulia ata haionekaniView attachment 2196038View attachment 2196039
nakazia....nimeahangaika usiku kucha nimeambulia bila bilaMfumo wa kisenge sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]tulikesha wote mkuunakazia....nimeahangaika usiku kucha nimeambulia bila bila
kuna muda ikatudanganya kama inafunguka...wapi yani awa watu wanatufanya tuwe walinzi bila kupenda kwakweli...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]tulikesha wote mkuu
Alafu kuna IT wa tamisem wanalipwa hela tena kodi zetu..nakazia....nimeahangaika usiku kucha nimeambulia bila bila