Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Mtandao ukiwa vzr dakika 15 zinatoshatuna hangaika kweli...ila ipo siku tu...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtandao ukiwa vzr dakika 15 zinatoshatuna hangaika kweli...ila ipo siku tu...!
Mtu unabeba IT za Teku, na Tofila kisanju unategemea nini
labda usiku wa leo ama pengine mchana wa leo....system inaweza kukaa poaMtandao ukiwa vzr dakika 15 zinatosha
Hii thread tuihamishe jukwaa la siasa tutasaidiwa...huku hatutapata suruhu mapemalabda usiku wa leo ama pengine mchana wa leo....system inaweza kukaa poa
Leo lazima Mambo yawe poa,,dalili zipo toka Jana nipo online until now, mtandao ukileta kichwa tu ninao[emoji3]labda usiku wa leo ama pengine mchana wa leo....system inaweza kukaa poa
Vyovyote utakavoona ww, ila nashauri utumie chrome.Samahani ndugu zangu naweza tumia simu au mpaka computer?
chanagamoto niliyoipata kutumia simu,kuna kile kisanduku cha juu kulia cha 'jisajili' hakionekaniVyovyote utakavoona ww, ila nashauri utumie chrome.
TUNAihamishiaje sasaHii thread tuihamishe jukwaa la siasa tutasaidiwa...huku hatutapata suruhu mapema
Kama unatumia chrome, kuna vile vinukta vitatu ukibofya hapo nenda kaweke tick kwenye desktop site, chrome yako itafunguka na kuwa na muonekano wa computer.chanagamoto niliyoipata kutumia simu,kuna kile kisanduku cha juu kulia cha 'jisajili' hakionekani
pole sana tafuta pc...chanagamoto niliyoipata kutumia simu,kuna kile kisanduku cha juu kulia cha 'jisajili' hakionekani
huu ndio uhungwana tusaidiane hadi kielewekeKama unatumia chrome, kuna vile vinukta vitatu ukibofya hapo nenda kaweke tick kwenye desktop site, chrome yako itafunguka na kuwa na muonekano wa computer.
ata simu unatumia ila kuna kipengele kidogo mpaka uelewe...Samahani ndugu zangu naweza tumia simu au mpaka computer?
asante kwa muongozo.🤝Kama unatumia chrome, kuna vile vinukta vitatu ukibofya hapo nenda kaweke tick kwenye desktop site, chrome yako itafunguka na kuwa na muonekano wa computer.
ulifungua account mpya au unatumia ile ya mwaka jana...?Unauthorized user
Apo inamaana gan
ata simu unatumia ila kuna kipengele kidogo mpaka uelewe...
Mpya kabisaa leoulifungua account mpya au unatumia ile ya mwaka jana...?
Kama unatumia chrome, kuna vile vinukta vitatu ukibofya hapo nenda kaweke tick kwenye desktop site, chrome yako itafunguka na kuwa na muonekano wa computer.Kipi hicho? Naomba muongozo