mwenye shamba
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 978
- 1,766
kaka samahani,nimekuquote kwa sababu nakuamini,naomba nisadidie maswali yafuatayo. 1.je tunaambatanisha barua ya kujitolea? na kama yes, barua inawekwa wapi 2.tunatumia copy za vyeti vyenye muhuri wa mwanasheria au vyet og? Nimeuliza hayo kwa sababu simu yangu haina uwezo,nijibu ili nijue naenda na nn mjini kutuma.mimi imenigomea...kuattach vyeti vya chuo....