Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Duh nilikua nishasahu kabisa kama kuna dirisha dogo la usajiri maana siyo kwa minyoosho hii ya tamisemi
 
Jamni kwa waalimu wa primary
Apo kwenye course mnajaza nni?
Screenshot_2022-04-24-21-05-09-936_com.android.chrome.jpg
 
Pia naomba msaada kuna bwana mdogo namfanyia application kada ya afya ila nimepata changamoto kwenye option la chaguo la muombaji (kuchagua mikoa)
ukibofya mikoa haiji
naomba msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom