Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Kama bado hujacertfy vyeti vyako fanya haraka uje tukusaidie, Usikubali kutuma maombi yako bila kudhibitisha vyeti vyako kwa mwanasheria.Wasiliana Nasi sasa 0769925004
Pia tuna Huduma ya scanning na photocopying.
 
Kama bado hujacertfy vyeti vyako fanya haraka uje tukusaidie, Usikubali kutuma maombi yako bila kudhibitisha vyeti vyako kwa mwanasheria.Wasiliana Nasi sasa 0769925004
pia tuna Huduma ya scanning na photocopying
 
Kama bado hujacertfy vyeti vyako fanya haraka uje tukusaidie, Usikubali kutuma maombi yako bila kudhibitisha vyeti vyako kwa mwanasheria.Wasiliana Nasi sasa 0769925004
pia tunahuduma y'all scanning na photocopying
 
Kaka....mkowap? Pia naomba msaada hapo kwenye taharfa za sekondary ni lazima kuandika ya form4 au hata six? Na je namna ya kuandka namba ya mtihan inakuwaje? Nimeandk kwa mfumo huu imekataa s0076/0032. Msaada wako
 
Mnaoutaka kupiga kazi alfajiri hii fanyeni chap mfumo ni kuteleza tu..lakin me bado nimekwama kwenye swala la kuchagua vituo vya kazi upande wa afya pamoja na mfumo kuteleza lakin waap...
Screenshot_20220425-051016_Chrome.jpg
 
Mnaoutaka kupiga kazi alfajiri hii fanyeni chap mfumo ni kuteleza tu..lakin me bado nimekwama kwenye swala la kuchagua vituo vya kazi upande wa afya pamoja na mfumo kuteleza lakin waap...View attachment 2199642
Mkuu naomba msaada namna ya kuandika namva ya mtiani hapo .na je ni lazma form 4 au hata ya six?...msaada please
 
Weka namba kwa mfumo wa S0777-00006 kama unavyoiona imeandikwa kwenye chet
Anza na ya 4m4 kwanza ukisev weka na six kama unavyo vyote
 
Ivi kama ulisoma diploma kisha degree cheti cha diploma unakiweka
Ukishaweka cha diploma au degre kikawa uploaded successfully kuna option ya "ongeza" kwenye Taarifa za elimu ya chuo unaweka hicho kiwango chako cha elimu kingine.
Rejea kielelezo hapa chini.
screenshot_20220425_062219.jpg
 
Nisaidieni,kuambatanisha cheti cha kuzaliwa inanigomea inaandika "system temporary not available" na mtandao upo vizuri sana kwa wenzangu hapa.
 
Ufafanuzi kutoka tamisemi 24.04.2022.
Ndugu zangu mnao aply nashaur msikilize video ya jana ya tamisemi live,you tube,imetoa ufafanuzi wa maswali ambayo mengine bado mnauliza huku..na namba za kupiga walielekeza.
Binafs swali waliruka kujibu ni la aina ya vyeti tunavyotumia,kama ni Certified copies au Origino.Nataman mwenye aliyethibitishiwa ajibu.
 
Back
Top Bottom