Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyuo vya certificate na diploma vipo chini ya baraza la mitihani la taifa na ndomana wanafanya mitihani ya taifaApa ni lazma tusaidiane ndgu kusudi kila mtu Afanikiwe
Mtandao gani. Airtel au tigoNaomba mtandao ukiwa Sawa tujuzane
Mfumo umerudi mida hii, nimeingia umekubaliNaomba mtandao ukiwa Sawa tujuzane
Nanyie hivi mnakosaga vyuo vya kwenda mpaka muende vyuo vyenye ghorofa moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Mfumo umerudi ila naona bado kwenye course hazipo baadhi ya vyuo
Mimi marian university college naona course hazipo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaaaaNanyie hivi mnakosaga vyuo vya kwenda mpaka muende vyuo vyenye ghorofa moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Sio kweli huku zanzibar hakuna mtihani wa Taifa bali kuna semisters na vyuo vya diploma na cheti viko chini ya NACTE.Vyuo vya certificate na diploma vipo chini ya baraza la mitihani la taifa na ndomana wanafanya mitihani ya taifa
Hivi machaguo ya mahali pa kazi ni mangapi??Mfumo umerudi ila naona bado kwenye course hazipo baadhi ya vyuo
Mimi marian university college naona course hazipo
Yeye ni diploma au degree?Pia naomba msaada kuna bwana mdogo namfanyia application kada ya afya ila nimepata changamoto kwenye option la chaguo la muombaji (kuchagua mikoa)
ukibofya mikoa haiji
naomba msaada tafadhali
Msaaada pia kwa course ya bachelor of social work kwenye chuo cha daresalamu haionekani kwa position ya ustawa wa jamii naombeni msaadaYeye ni diploma au degree?
Nimefanya TYPINGBarua umeandika kwa ku-typing au mkono.?
[emoji23][emoji23] Chuo gn hicho umeweka necta ikakubali
[emoji23][emoji23] Labla Zoom college ndo ukiweka necta inakubali
Kwahy unaomba za Ualimu na afya.?Inaniambia nida number already exist mm nliomba na za wizara ya afya mana ake nn