Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

si kwamba itakuwa kuna alama wameziseti za ufaulu wa juu...nadhani ndio mchujo unaanzia hapo...ila ajaribu kuwasiliana nao namba zao ni 0735160210....unatumia dakika za kawaida kuipiga namba hiyo...
Shukran mkuu
 
Samahanini wakuu ...Hv ukiwa na Bachelor degree inaruhusiwa kuomba Ualimu Shule ya Msingi?....[emoji120][emoji120]
 
si kwamba itakuwa kuna alama wameziseti za ufaulu wa juu...nadhani ndio mchujo unaanzia hapo...ila ajaribu kuwasiliana nao namba zao ni 0735160210....unatumia dakika za kawaida kuipiga namba hiyo...
Hii namba ulotoa niyao kweli??. Isije ikiwa matapeli unataka kumtapeli. Ebu mwambie aingie kwenye website yao afu atakuta namba zao apige
 
Hii namba ulotoa niyao kweli??. Isije ikiwa matapeli unataka kumtapeli. Ebu mwambie aingie kwenye website yao afu atakuta namba zao apige
mimi sio taperi...nipo humu muda mrefu sijawahi kutaperi na sina sababu za kutaperi...ijaribu kuipiga ata wewe ulete mrejesho...nikisha mtaperi nitapata nini...
 
Wakuu niko namfanyia mtu application kwa kada ya afya ila nimefika kwenye kipengele cha ( year completed ) nikijaza mwaka aliomaliza chuo inaniandikia undefined

Screenshot_20220426-105100.png
 
Back
Top Bottom