Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Shukran mkuusi kwamba itakuwa kuna alama wameziseti za ufaulu wa juu...nadhani ndio mchujo unaanzia hapo...ila ajaribu kuwasiliana nao namba zao ni 0735160210....unatumia dakika za kawaida kuipiga namba hiyo...
MtandaoHabar wakuu...nmefika kwenye viambatansho vya chuo. Nimeattach lakin kila nikisave naambiwa "Unauthorized User".....nusu saa sasa.....nafanyaje?
Fungua upya ..huo ni mtandao tu unazingua.Habar wakuu...nmefika kwenye viambatansho vya chuo. Nimeattach lakin kila nikisave naambiwa "Unauthorized User".....nusu saa sasa.....nafanyaje?
Hii namba ulotoa niyao kweli??. Isije ikiwa matapeli unataka kumtapeli. Ebu mwambie aingie kwenye website yao afu atakuta namba zao apigesi kwamba itakuwa kuna alama wameziseti za ufaulu wa juu...nadhani ndio mchujo unaanzia hapo...ila ajaribu kuwasiliana nao namba zao ni 0735160210....unatumia dakika za kawaida kuipiga namba hiyo...
Mwaka huu hawaruhusu, halafu ebu acha pupa Soma TANGAZO la ajira lote kwa utulivu na umakini wa hali ya juu. Kila kitu kipo waziSamahanini wakuu ...Hv ukiwa na Bachelor degree inaruhusiwa kuomba Ualimu Shule ya Msingi?....[emoji120][emoji120]
pamoja sana kakaAsante ndugu
mimi sio taperi...nipo humu muda mrefu sijawahi kutaperi na sina sababu za kutaperi...ijaribu kuipiga ata wewe ulete mrejesho...nikisha mtaperi nitapata nini...Hii namba ulotoa niyao kweli??. Isije ikiwa matapeli unataka kumtapeli. Ebu mwambie aingie kwenye website yao afu atakuta namba zao apige
kwenye simu yangu sioni option ya kubadili machaguo.msaada tafadhalindio inawezekana
Poa mkuuMwaka huu hawaruhusu, halafu ebu acha pupa Soma TANGAZO la ajira lote kwa utulivu na umakini wa hali ya juu. Kila kitu kipo wazi
Kabisa kwenye cm ile option ya 'Ondoa' haionekaniDuh ukiwa unatumia simu kuedit taarifa kwenye huu mfumo ni changamoto sana hata ukirotate simu haileti sehemu ya edit. Hili nalo ni tatizo lingine
Sunapata pesamimi sio taperi...nipo humu muda mrefu sijawahi kutaperi na sina sababu za kutaperi...ijaribu kuipiga ata wewe ulete mrejesho...nikisha mtaperi nitapata nini...
Weka kwenye mfumo wa desk top hiyo option ipoKabisa kwenye cm ile option ya 'Ondoa' haionekani
tumia computerDuh ukiwa unatumia simu kuedit taarifa kwenye huu mfumo ni changamoto sana hata ukirotate simu haileti sehemu ya edit. Hili nalo ni tatizo lingine
kwani unanifahamu...?Sunapata pesa
Nielekeze mkuu namna yakuweka huo mfumo kama hutojali[emoji120]Weka kwenye mfumo wa desk top hiyo option ipo
bonyeza hivyo vi nukta vitatu hapo kwenye browser unayotumia...kisha bofya desktopNielekeze mkuu namna yakuweka huo mfumo kama hutojali[emoji120]