X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #781
ipo kwenye kipengele gani hiyo npa....?npa number tunajaza nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipo kwenye kipengele gani hiyo npa....?npa number tunajaza nini?
jaza taarifa za chuo....baada ya hapo chagua kozi yoyote....hii itairuhusu ile sehemu ya mwaka ambayo haifunguki ifunguke....baada ya hiyo sehemu ya mwaka wa kumaliza kufunguka andika mwaka wako uliohitimu...kisha rudi pale ulipochagua kozi yoyote iandike kozi yako manual...Hapana mkuu
Shukràni sana mkuu,Mungu akubariki ngoja nifanye hii mbinujaza taarifa za chuo....baada ya hapo chagua kozi yoyote....hii itairuhusu ile sehemu ya mwaka ambayo haifunguki ifunguke....baada ya hiyo sehemu ya mwaka wa kumaliza kufunguka andika mwaka wako uliohitimu...kisha rudi pale ulipochagua kozi yoyote iandike kozi yako manual...View attachment 2204021
baada ya kuchagua kozi nyingine yoyote usio husiana nayo....utajaza mwaka wako wa kumaliza chuo kisha ile sehemu ya kuambatanisha cheti na yenyewe itafunguka utaweka vyeti kama inavyoonekana pichani baada ya hapo utarudi kwenye ile kozi yako utaiandika manual kama picha hapo chini inavyoonyeshaView attachment 2204018
kisha utasave...mchezo umeisha
😂😂 Ww jamaa bhana 😂😂Wewe umeula, ebu shule gani hizo tuone
pouaShukràni sana mkuu,Mungu akubariki ngoja nifanye hii mbinu
SekondariIv kwa mtu alosoma BAED anaweza kuomba kufundisha shule ya msingi coz kwenye mfumo ukiomba shule zipo zinaonysha EM (elimu msingi) na Kuna baadhi ya shule zinaonysha S( sekondari)
Fua begi kabisa andaa na Nauli chap Apo.Hahahaha dah Mkuu Mimi kwa physics day 1 kwenye machaguo ya shule ilikua hivi 1,1,1,1,1 sasahivi nikiangalia machaguo ya shule ni 5,2,2,2,5
Nani kakudanganya, unaweza ukawa alone lakini usichaguliwe nafasi ikazibwa na mtu mwingineFua begi kabisa andaa na Nauli chap Apo.
Acha kujidanganya hiyo Ni physics uhitaji wao Ni mkubwa Sana Na probability ya kuchukuliwa wao nikubwa ndo Mana hata Ajira za mwaka jana walichukuliwa wengi Sana wenye physics walio maliza 2019Nani kakudanganya, unaweza ukawa alone lakini usichaguliwe nafasi ikazibwa na mtu mwingine
Jidanganye, waliosoma physics ambao bado hawajaajiliwa ni zaidi ya Sabini elfu. Halafu unaongea tu eti uhitaji ni mkubwaAcha kujidanganya hiyo Ni physics uhitaji wao Ni mkubwa Sana Na probability ya kuchukuliwa wao nikubwa ndo Mana hata Ajira za mwaka jana walichukuliwa wengi Sana wenye physics walio maliza 2019
Mbna ujichangua shule arts unakutana na Em elimu msingi zoote mkubwa hakuna secondarySekondari
Nimefanya hivi shida inakuja kwenye mwaka qa kumaliza wala haifungukijaza taarifa za chuo....baada ya hapo chagua kozi yoyote....hii itairuhusu ile sehemu ya mwaka ambayo haifunguki ifunguke....baada ya hiyo sehemu ya mwaka wa kumaliza kufunguka andika mwaka wako uliohitimu...kisha rudi pale ulipochagua kozi yoyote iandike kozi yako manual...View attachment 2204021
baada ya kuchagua kozi nyingine yoyote usio husiana nayo....utajaza mwaka wako wa kumaliza chuo kisha ile sehemu ya kuambatanisha cheti na yenyewe itafunguka utaweka vyeti kama inavyoonekana pichani baada ya hapo utarudi kwenye ile kozi yako utaiandika manual kama picha hapo chini inavyoonyeshaView attachment 2204018
kisha utasave...mchezo umeisha
Fua begi kabisa andaa na Nauli chap Apo
Hahaha Mkuu mchuano ni mkali Sana sasahivi ni 5,2,3,3,6Fua begi kabisa andaa na Nauli chap Apo.
Hakuna kitu kama hicho labda unaandika kwa kujifurahisha sisi tuliomaliza 2020 class yetu physics na chemistry tulikua 89 tu...waliotutangulia 2019 walichukuliwa wengi sana physcs takers bachelor walioko mtaani sidhani wanafika buku. Labda uchanganye na special diplomaJidanganye, waliosoma physics ambao bado hawajaajiliwa ni zaidi ya Sabini elfu. Halafu unaongea tu eti uhitaji ni mkubwa
badilisha badilisha mikoa...harafu kabla hujachagua tafuta ajina la shule mtandaoniMbna ujichangua shule arts unakutana na Em elimu msingi zoote mkubwa hakuna secondary
Apo inakuwaje
tungeshalimaliza hilo tatizo nilikupa namba yangu unipigie....ukagoma...aisee pambania kombeNimefanya hivi shida inakuja kwenye mwaka qa kumaliza wala haifunguki
Mbna nliwapigia tamisemi kwenye namba yao ya mawasiliano wakasema inawezekana kwa degree arts kuomba EM Elimu msingitungeshalimaliza hilo tatizo nilikupa namba yangu unipigie....ukagoma...aisee pambania kombe