X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #801
jibu la tamisemi ni la msingi zaidi kuliko la humu...mimi pia ni muombaji tu ndugu yangu....ila kutokana na wasomi wengi kuwa nje ya mtandao ndio maana nikaamua nitoe msaada humu wa changamoto zinazojitokeza...ila sina sina uhusiano wowote na ofisi ya tamisemi...changamoto hizi nazitatua kutokana na utashi wangu binafsi tu.Mbna nliwapigia tamisemi kwenye namba yao ya mawasiliano wakasema inawezekana kwa degree arts kuomba EM Elimu msingi
Apo ipoje mkuu?