Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haibadilishi chochote? Maana nataka niangalie lakin sitaki ku-edit kitu chochotendio inawezekana hata mimi huwa naandalia mara kwa mara...japo muda mwingine mtandao ukiwa unasumbua huwa azifunguki
PDF likitoka lazima tuje hapa kupeana update ata Kama tumepata au kukosashida hakuna ni maamuzi tu kikubwa umeomba kwenye level yako unayostahiki...nakutakia bahati njema tu ndugu yangu
hujakosea...Ufafanuzi wa vyeti.
Naomba kufahamu maana ya nakala,maana kwenye tangazo wanahitaji nakala za vyeti vya taaluma na kuzaliwa.
Binafs niliweka vyeti Origino kwa ku vi scan.
Je nimekosea?
kweli kabisa...kikubwa uhai tuPDF likitoka lazima tuje hapa kupeana update ata Kama tumepata au kukosa
huku nilipo inafunguka mbonaHaibadilishi chochote? Maana nataka niangalie lakin sitaki ku-edit kitu chochote
Namaanisha nkitaka ku-view files, haiwez badilsha application yangu maana sitaki ku-edit kitu chochotehuku nilipo inafunguka mbona
hakuna kitakachobadilika...Namaanisha nkitaka ku-view files, haiwez badilsha application yangu maana sitaki ku-edit kitu chochote
Kama wameongeza jaza mkuuHawa jamaa wameongeza option ya KUHAKIKI NIDA. Hiyo imeakaaje? Kwa nini imeongezwa hiyo option wakati tulihakiki NIDA tulipokuwa tunafungua account za OTEAS?View attachment 2205276
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia tena ni shida ya kimtandaoNimeshajaza taarifa za chuo adi bachelor degree ya social work,lakini nikishasave inakuja degree of sociology wakati sijajaza hiyo,msaada jamani
Mbona hy ipo tangu mwanzo, au unavosema wameongeza una maana gani.?Hawa jamaa wameongeza option ya KUHAKIKI NIDA. Hiyo imeakaaje? Kwa nini imeongezwa hiyo option wakati tulihakiki NIDA tulipokuwa tunafungua account za OTEAS?View attachment 2205276
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]data sensitive hizo usiziweke humu
We jamaa unaweka na shule zinaonekana kabisamkeka bado unazidi kusoma yani unaweza kutokwa na chozi hapo kila siku nilikuwa nafanya kazi ya kubadilisha shule...yani nimeziibadilisha hadi nimechoka....nimeamuachia Mungu atu afanye miujiza yake kwa kwakweli...sijui wenzangu mikeka yenu inasomaje....View attachment 2204979
Hata hapa hospitali nlokuwa napiga kaz vijana wamechkuliwa majina kimya kimya juz hapa sa sjui wanayapeleka wap. Kujitolea sio dhambi mkuuuJamani kumbe wale wa kujitolea walichukuliwa majina kimya kimya kwenye shule waliokuwa wanafundisha dah [emoji22]