Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

ndugu yangu...roho mbaya haijengi...kama ungekuwa unataka usensitive usingejiunga mitandaoni...kama unayonia ya kusaidia mtu saidia ili akushukuru walau kimya kimya...muda mrefu nimekuona upo na kaubinafsi fulani ambako sio lengo la huu uzi...huu uzi ni wa kuwasaidia wanaopata changamoto kutokana na maombi ya ajira na nina imani ata wewe kwa namna moja ama nyingine kuna mambo kupitia huu uzi umenufaika nayo je...na sisi tungekuwa na ubinafsi kama uliokuwa nao...hata huu uzi usingekuwepo...ifike mahali tutumie mtandao vizuri na kwa nia nzuri na usizani kila mwenye kuutumia huu mtandao basi ni mwenye nia ovu.
Huyo Jamaa Mbinafsi Sana, Tangu day one Nlimuona tu Comments Zake Yan ana Roho ya Korosho, Roho Mbaya Vibaya Sana.
 
Huyo Jamaa Mbinafsi Sana, Tangu day one Nlimuona tu Comments Zake Yan ana Roho ya Korosho, Roho Mbaya Vibaya Sana.
nimempa ukweli wake...asihisi kuwa labda tunaishi kwa njia za ujanja ujanja...tunatakiwa tubadilike tuutumie mtandao kwa manufaa....namshukuru Mungu kupitia uzi huu nimepata marafiki kutoka mikoa mbali mbali...ambao wamekuwa kama ndugu zangu nimewasaidia bila kujuana nao na wala sihitaji malipo yoyote kutoka kwao...hata nisipo pata hii nafasi nina uhakika kati ya nilio wasaidia mmoja wapo akibahatika akinikumbuka tu walau kwa kunitaja japo anijui itakuwa baraka kwangu...mtandao ni sehemu ya msaada wa haraka kama tukiutumia vizuri...
 
Huyu jamaa mpwayungu village ana roho mbaya na ni mnafiki sana, watu kama hawa ndio wanaweza kukuacha unakufa huku wakijifanya wanakusaidia. Ni bora wale wanaopitia uzi huu kimya kimya na kutatua changamoto zao kuliko huyu anayejionyesha kabisa hataki kusaidia wengine, itafika wakati tusiokuwa na roho mbaya tutaanza kuomba Mungu huyu jamaa mpwayungu village asipate nafasi ili iwe funzo lakni hatuwezi kufanya hivyo mana sio sisi tunaogawa ridhiki.
Mbaya zaidi anamtaja Mungu kwenye unafiki wako.
Ww jamaa mpwayungu village huo unafiki wako hautokupeleka popote
Ety sensitive labla sensitive ya makalio yako, mpumbavu ww.
 
Huyu jamaa mpwayungu village ana roho mbaya na ni mnafiki sana, watu kama hawa ndio wanaweza kukuacha unakufa huku wakijifanya wanakusaidia. Ni bora wale wanaopitia uzi huu kimya kimya na kutatua changamoto zao kuliko huyu anayejionyesha kabisa hataki kusaidia wengine, itafika wakati tusiokuwa na roho mbaya tutaanza kuomba Mungu huyu jamaa mpwayungu village asipate nafasi ili iwe funzo lakni hatuwezi kufanya hivyo mana sio sisi tunaogawa ridhiki.
Mbaya zaidi anamtaja Mungu kwenye unafiki wako.
Ww jamaa mpwayungu village huo unafiki wako hautokupeleka popote
Ety sensitive labla sensitive ya makalio yako, mpumbavu ww.
Mmempiga spana harudii Tena[emoji3]
 
kwa computer ndio rahisi....
utabonyeza hapo kama picha inavyoonyesha...
View attachment 2203239


ukishabonyeza hapo itafunguka....kama kiambata kitakavyoonyesha hapo chini...kisha utabonyeza hiyo alama iliyozungushiwa duaraView attachment 2203243
utabadilisha taarifa zako kama unavyo taka kisha unasave...View attachment 2203246
au....unaingia
kwa kubonyeza kama picha inavyoonyeshaView attachment 2203249
harafu unaondoa hiyo taarifa kwa kubonyeza sehemu ya ondoa...baada ya hapo unaweka taarifa zako upyaView attachment 2203252
ukishindwa niambie haraka iwezekanavyo...ila usisahau kuwa hayo yote yanawezekana kwa urahisi ukitumia computer...kwenye simu sina uhakika
Ivi apo kwenye badili taarifa, wanaruhusu Hadi kubadili hayo majina 3 yaliyopo kwenye NIDA kweli?
 
ndugu yangu...roho mbaya haijengi...kama ungekuwa unataka usensitive usingejiunga mitandaoni...kama unayonia ya kusaidia mtu saidia ili akushukuru walau kimya kimya...muda mrefu nimekuona upo na kaubinafsi fulani ambako sio lengo la huu uzi...huu uzi ni wa kuwasaidia wanaopata changamoto kutokana na maombi ya ajira na nina imani ata wewe kwa namna moja ama nyingine kuna mambo kupitia huu uzi umenufaika nayo je...na sisi tungekuwa na ubinafsi kama uliokuwa nao...hata huu uzi usingekuwepo...ifike mahali tutumie mtandao vizuri na kwa nia nzuri na usizani kila mwenye kuutumia huu mtandao basi ni mwenye nia ovu.
Tusameheane kama Kuna sehemu nimejikwaa jamii forum ni ndugu
 
Huyu jamaa mpwayungu village ana roho mbaya na ni mnafiki sana, watu kama hawa ndio wanaweza kukuacha unakufa huku wakijifanya wanakusaidia. Ni bora wale wanaopitia uzi huu kimya kimya na kutatua changamoto zao kuliko huyu anayejionyesha kabisa hataki kusaidia wengine, itafika wakati tusiokuwa na roho mbaya tutaanza kuomba Mungu huyu jamaa mpwayungu village asipate nafasi ili iwe funzo lakni hatuwezi kufanya hivyo mana sio sisi tunaogawa ridhiki.
Mbaya zaidi anamtaja Mungu kwenye unafiki wako.
Ww jamaa mpwayungu village huo unafiki wako hautokupeleka popote
Ety sensitive labla sensitive ya makalio yako, mpumbavu ww.
Tusameheane ndugu
 
Wakuu Vipi hili suala la kuomba pande zote Wizara ya Afya na TAMISEMI
SUALA hili nimeliwekea uzi Ila naona Mods Siyo kipaumbele chao.

Ajira ni ushindani!
Ukipata huku unaweza kukosa kule na kinyume chake.
Ukipata kote unachagua pa kwenda, iko hivo siku zote na wengine watafill hiyo nafasi!

Kwa nini tunawafundisha Watu kuchangamkia fursa? Kila Siku Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu akiongea anawasihi vijana kukaba Halafu Fursa zikija tunaweka mibano isiyokua na maana.

Sasa wizara ya Afya inakuwekea limitations hata kama unazo sifa!

Nawashukuru OR-TAMISEMI wameupuuza msimamo huo wa katibu mkuu wa Afya.

Naamini hizi ni taasisi mbili tofauti na ndiyo maana Wizara afya wamesisitiza kuhakiki vyeti mahakamani huku TAMISEMI siyo muhimu na mambo mengine mengi wanayopishana

Kama huu ungekua msimamo wa Mh Rais na Serikali kwa ujumla kwenye hizi ajira basi hili katazo lingeonekana Kwenye Tangazo la OR TAMISEMI pia!

Nawasihi vijana Ombeni kotekote huwezi jua bahati yako iko wapi, Tuwapuuze wasomi wenzetu wachoyo wa ridhiki kama huyu Katibu mkuu Afya.
Haya lazima ni maoni yake binafsi.
IMG_9254.jpg


Makubi huyu?
 
Back
Top Bottom