Huyu jamaa
mpwayungu village ana roho mbaya na ni mnafiki sana, watu kama hawa ndio wanaweza kukuacha unakufa huku wakijifanya wanakusaidia. Ni bora wale wanaopitia uzi huu kimya kimya na kutatua changamoto zao kuliko huyu anayejionyesha kabisa hataki kusaidia wengine, itafika wakati tusiokuwa na roho mbaya tutaanza kuomba Mungu huyu jamaa
mpwayungu village asipate nafasi ili iwe funzo lakni hatuwezi kufanya hivyo mana sio sisi tunaogawa ridhiki.
Mbaya zaidi anamtaja Mungu kwenye unafiki wako.
Ww jamaa
mpwayungu village huo unafiki wako hautokupeleka popote
Ety sensitive labla sensitive ya makalio yako, mpumbavu ww.