X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #901
heri yako wewe mwenye kaziKumbe humu nashinda na majobless wengi sana kudadadeki WATOTO WADOGO NINYI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heri yako wewe mwenye kaziKumbe humu nashinda na majobless wengi sana kudadadeki WATOTO WADOGO NINYI
Kuna mdau anasema eti hata wakipangiwa, wakifika halmashauri TSC wanaangalia cheti, na kama hakina neno EDUCATION wanafukuza kama mbwaaa eti siyo walimu. Lina ukweli hili chifu?Mimi nimeaply kwa bachelor of science in mathenatics. Wajilipue tu mzee huwezi jua.
Kuna watu kadhaa wa darasa langu walishaga pata kitambo hizi ajira za waalimu, na wengine wanasoma post graduate za ualimu now wakiwa kazini tayari.
Let him do frequently the system will automatically be ok, I think it could be network traffic and error hence patience is a key to success.Embu naomba mnisaidie jambo... Kuna rafiki yangu aliomba nimtengenezee account sasa akanipatia email address na NIDA number kwahiyo nikawa na create account....
Sasa hatimaye tukafanikiwa hivyo nikamtumia username na password ili aweke cheti cha kuzaliwa
Hiyo ilikuwa last week.... Kumbe alikuwa busy hivyo hakuendelea kuattach kile Cheti cha kuzaliwa....
Leo amenitafuta asubuhi akidai aliweka vyeti vizuri Tu cha kuzaliwa na akaweka details zake pale... Lakini changamoto anapobonyeza sehemu ya kuendelea inamuandikia kuwa number is already exists.... Hapo tunamsaidiaje?
Niliwaza nikahisi NIDA number imetumika na mtu mwingine hivyo nikamsaidia kubadili password ila hata nilipofanya hivyo... Iliniletea hivyo hivyo
Yeah ila ni baadhi ya halmashauri nasikia ndio wana mambo ya kiwaki kama hayo. Lakini kuna halmashauri zingine kama walioko hao jamaa zangu wanfanya kazI fresh tu mpaka leo wanamiaka na wanachangia hadi CWT.Kuna mdau anasema eti hata wakipangiwa, wakifika halmashauri TSC wanaangalia cheti, na kama hakina neno EDUCATION wanafukuza kama mbwaaa eti siyo walimu. Lina ukweli hili chifu?
]
Sahv hapana juzi Kuna vijana walifukuzwa vibaya Sana Halimashauri, ukiwa unahakikiwa vyeti wanaangalia Nemo Education kwenye cheti huna unafukuzwa kwa aibu sanaIla kuna jamaa zangu wa mathematics walipata mkuu miaka ya juzijuzi hapa.
Yaani wamuache mweye pedagogical skills, wamchukue ambae ata barua ya ajira haimutambui, any ombaWw omba tuu
Zamani ilikuwa raha, wameanza kukaza Sana kuanzia 2020, Kuna jamaa Alisoma Arts kwenye ajira akaweka Physics na Math, Tamisemi wakampa ajira, wakati wa kureport Mkurugenzi alimfukuza kma MbwaYeah ila ni baadhi ya halmashauri nasikia ndio wana mambo ya kiwaki kama hayo. Lakini kuna halmashauri zingine kama walioko hao jamaa zangu wanfanya kazI fresh tu mpaka leo wanamiaka na wanachangia hadi CWT.
Kwani uliitwa.?Kumbe humu nashinda na majobless wengi sana kudadadeki WATOTO WADOGO NINYI
kuna muombaji kwa bahati mbaya amekosea kuandika namba ya reg....ameandika yakwako badala ya yake hapo cha kufanya angalia page ya kwanza ya uzi huu kuna namba za tamisemi uwapigie...au hapo kweny namba uongeze namba nyingine mbele yake ili uweze kuendelea na maombi...kikubwa ni hizo attachment...Embu naomba mnisaidie jambo... Kuna rafiki yangu aliomba nimtengenezee account sasa akanipatia email address na NIDA number kwahiyo nikawa na create account....
Sasa hatimaye tukafanikiwa hivyo nikamtumia username na password ili aweke cheti cha kuzaliwa
Hiyo ilikuwa last week.... Kumbe alikuwa busy hivyo hakuendelea kuattach kile Cheti cha kuzaliwa....
Leo amenitafuta asubuhi akidai aliweka vyeti vizuri Tu cha kuzaliwa na akaweka details zake pale... Lakini changamoto anapobonyeza sehemu ya kuendelea inamuandikia kuwa number is already exists.... Hapo tunamsaidiaje?
Niliwaza nikahisi NIDA number imetumika na mtu mwingine hivyo nikamsaidia kubadili password ila hata nilipofanya hivyo... Iliniletea hivyo hivyo
Kuna mtu namfaham alisoma BALS (Bachelor of Arts in Language Studies) UD, alifanya application akapangiwa kituo. Alivoreport halmashauri akaulizwa, alisoma kozi ngapi za ualimu, hajui. Akaulizwa kama angalau mbali na content courses anajua ethics, au chochote kuhusiana na kozi yoyote inayotolewa na SOED, akajibu hakumbuki.Yeah ila ni baadhi ya halmashauri nasikia ndio wana mambo ya kiwaki kama hayo. Lakini kuna halmashauri zingine kama walioko hao jamaa zangu wanfanya kazI fresh tu mpaka leo wanamiaka na wanachangia hadi CWT.
Nafikiri ilikuwa sababu ya uhitaji mkubwa wa waalimu wa masomo ya sayansi.Zamani ilikuwa raha, wameanza kukaza Sana kuanzia 2020, Kuna jamaa Alisoma Arts kwenye ajira akaweka Physics na Math, Tamisemi wakampa ajira, wakati wa kureport Mkurugenzi alimfukuza kma Mbwa
Ili akipata aende akafukuzwe kama mbwaWw omba tuu
Asante mkuu.... Amesema atawapigia keshokuna muombaji kwa bahati mbaya amekosea kuandika namba ya reg....ameandika yakwako badala ya yake hapo cha kufanya angalia page ya kwanza ya uzi huu kuna namba za tamisemi uwapigie...au hapo kweny namba uongeze namba nyingine mbele yake ili uweze kuendelea na maombi...kikubwa ni hizo attachment...
Nadhani itakuwa kipindi Cha MaguMimi nimeaply kwa bachelor of science in mathenatics. Wajilipue tu mzee huwezi jua.
Kuna watu kadhaa wa darasa langu walishaga pata kitambo hizi ajira za waalimu, na wengine wanasoma post graduate za ualimu now wakiwa kazini tayari.
Sasa huyu wa arts na sayansi wapi na wapiZamani ilikuwa raha, wameanza kukaza Sana kuanzia 2020, Kuna jamaa Alisoma Arts kwenye ajira akaweka Physics na Math, Tamisemi wakampa ajira, wakati wa kureport Mkurugenzi alimfukuza kma Mbwa
Dah!pole yake kwakweliKuna mtu namfaham alisoma BALS (Bachelor of Arts in Language Studies) UD, alifanya application akapangiwa kituo. Alivoreport halmashauri akaulizwa, alisoma kozi ngapi za ualimu, hajui. Akaulizwa kama angalau mbali na content courses anajua ethics, au chochote kuhusiana na kozi yoyote inayotolewa na SOED, akajibu hakumbuki.
Akawekwa rumande kwa siku kama mbili, kisha afukuzwa na kuambiwa akijaribu ujinga huo, wata revoke vyeti vyake
Sorry ni nacte reg noipo kwenye kipengele gani hiyo npa....?
Nilimaanisha pale kwenye masomo ya kufundishia niliweka Biology tu, Geography haikuweposhida hakuna ni maamuzi tu kikubwa umeomba kwenye level yako unayostahiki...nakutakia bahati njema tu ndugu yangu