Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mm nakukumbusha tuu kuwa deadline ni 4 MayHivi barua tunaandika kwa mkono au tunatype
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nakukumbusha tuu kuwa deadline ni 4 MayHivi barua tunaandika kwa mkono au tunatype
Saa 23:59Mm nakukumbusha tuu kuwa deadline ni 4 May
Wataongeza tu haoMm nakukumbusha tuu kuwa deadline ni 4 May
Nisaidie kwenye password asee inailetea hiviMm nakukumbusha tuu kuwa deadline ni 4 May
Iwe kama hivi JOHNpombe@17321Nisaidie kwenye password asee inailetea hiviView attachment 2208309
Page ya nyuma kuna taarifa zako.? Kama kuna taarifa zako bc weka.Wadau naomba kuuliza.
Eti unapo attach vyeti mfano cha form four. Page zote za mbili yaani mbele na nyuma ni lazima zionekane, au ni upande mmoja tu wa mbele?
Mimi niliweka page zote mbili lakini nimeona kuna wadau wameweka upande mmoja tu.
wasomi wetu wanachekesha...mimi ninae msomi mmoja hapa eti email amefungua mwenyewe ameisahau na pasword pia eti kasahauPage ya nyuma kuna taarifa zako.? Kama kuna taarifa zako bc weka.
Jiongeze bhana.
AsanteIwe kama hivi JOHNpombe@17321
duh, hujaelewa cha kufanya hapo?Nisaidie kwenye password asee inailetea hiviView attachment 2208309
must be signedHivi barua tunaandika kwa mkono au tunatype
Vyovyote tuWadau naomba kuuliza.
Eti unapo attach vyeti mfano cha form four. Page zote za mbili yaani mbele na nyuma ni lazima zionekane, au ni upande mmoja tu wa mbele?
Mimi niliweka page zote mbili lakini nimeona kuna wadau wameweka upande mmoja tu.
Yn kuna mambo mengine mpaka unashangaa, unatamani kumsaidia mtu lkn ukiangalia hilo tatizo unaona kabisa ht yeye mwenyewe akitumia akili za mtoto mdogo anapata jibu mwenyewe.wasomi wetu wanachekesha...mimi ninae msomi mmoja hapa eti email amefungua mwenyewe ameisahau na pasword pia eti kasahau
Wasomi wanatoa boko[emoji1787]Yn kuna mambo mengine mpaka unashangaa, unatamani kumsaidia mtu lkn ukiangalia hilo tatizo unaona kabisa ht yeye mwenyewe akitumia akili za mtoto mdogo anapata jibu mwenyewe.
Ila huyo aliyesahau hadi Email achana na password aisee em nisaidie kumpiga kofi la kisogo.
Hapana.. Akishatuma tu hard copy anakua amemaliza kazinaomba kujuzwa, kwa wanaoomba nafasi ya ualimu na ana ulemavu wa viungo, akishatuma hard copy kwa njia posta bado atatakiwa kuomba kwenye mfumo tena.
kuna mwingine hapa eti ananiuliza email....ndio nini...yani nimemuangalia jicho hilo...kisha nikatetemeka kwa hasira...mbaya zaidi ni degree holder eti.Yn kuna mambo mengine mpaka unashangaa, unatamani kumsaidia mtu lkn ukiangalia hilo tatizo unaona kabisa ht yeye mwenyewe akitumia akili za mtoto mdogo anapata jibu mwenyewe.
Ila huyo aliyesahau hadi Email achana na password aisee em nisaidie kumpiga kofi la kisogo.
Msaidie tu mkuu 😂kuna mwingine hapa eti ananiuliza email....ndio nini...yani nimemuangalia jicho hilo...kisha nikatetemeka kwa hasira...mbaya zaidi ni degree holder eti.
nimemsaidia ila maenistaajabisha sana kwa kweli...!Msaidie tu mkuu 😂
Kuna watu vilaza sana ,yani wanakuwa wazembe kwenye vitu sensitive hadi unashangaa huyu mtu kweli kasoma hadi chuowasomi wetu wanachekesha...mimi ninae msomi mmoja hapa eti email amefungua mwenyewe ameisahau na pasword pia eti kasahau