Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Mtandao mie niliaply siku ya pili, lkn sijawai ku-edit uwa nachungulia account na kutokaKwa watu wa Afya, Vituo mlivochagua vinaonekana au ndio kama mimi???View attachment 2211449
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtandao mie niliaply siku ya pili, lkn sijawai ku-edit uwa nachungulia account na kutokaKwa watu wa Afya, Vituo mlivochagua vinaonekana au ndio kama mimi???View attachment 2211449
Wadau kibao naona wanasema inaonesha hiv hiv!Mtandao mie niliaply siku ya pili, lkn sijawai ku-edit uwa nachungulia account na kutoka
Vipo mbona.... Nimetizama kwa Dogo langu hapaKwa watu wa Afya, Vituo mlivochagua vinaonekana au ndio kama mimi???View attachment 2211449
Vifute vyote kisha weka tena machaguoKwa watu wa Afya, Vituo mlivochagua vinaonekana au ndio kama mimi???View attachment 2211449
Mkuu mimi niliweka mapema, nahofia nikifuta ntaonekana nimeomba mwishoni??Vifute vyote kisha weka tena machaguo
[emoji23][emoji23] ww jamaa unachekesha sana, aliyekuambia wanaangaliwa wa mwanzo ni nani?Mkuu mimi niliweka mapema, nahofia nikifuta ntaonekana nimeomba mwishoni??
Okay basi acha hivyo hivyo uliwe kichwaMkuu mimi niliweka mapema, nahofia nikifuta ntaonekana nimeomba mwishoni??
Hhhhh halafu bado wameongeza sikuWalimu zaidi ya laki wameomba halafu nafasi 9800 yani booonge la betting
Hii inamaanisha kada ya wenzetu wafya wao hawana interest na ajira au?Siku 4 zimeongezwa kuomba ajiraView attachment 2211636
Hii inamaanisha kada ya wenzetu wafya wao hawana interest na ajira au?
Yaap, yani waziri ana mambo ya kisenge sana, kwenye ajira nyeti zenye mishahara minono husikii wanaongeza muda wa watu kuomba ili wawape ndugu zao,ila hizi kazi za jumuia watoto wa maskini zinapigiwa promo kuongeza muda Ili hali idadi imezidi zaidi ya wanaohitajikaHhhhh halafu bado wameongeza siku
Acha roho mbaya ww kama bahati yako utapata tu na kama haipo haipo tuYaap, yani waziri ana mambo ya kisenge sana, kwenye ajira nyeti zenye mishahara minono husikii wanaongeza muda wa watu kuomba ili wawape ndugu zao,ila hizi kazi za jumuia watoto wa maskini zinapigiwa promo kuongeza muda Ili hali idadi imezidi zaidi ya wanaohitajika
Vinaonaka vizur tu saiv ukiedi then ukasave vinakujaKwa watu wa Afya, Vituo mlivochagua vinaonekana au ndio kama mimi???View attachment 2211449
Sensa tayari mkuuHii ishu pevu mi nimehairisha kuomba ngoja nisubiri za sensa tu maana chuo nako wanasumbua na madeni ya uongo, ngoja niendelee kujiajiri tu
Kweli,nimeingia ikagoma !!Hatimaye maombi yamefungwa rasmi