Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
History mostly ni msingi, na hata Geography baadhi ya shule ni msingi.Msaada ndugu
Nina masomo mawili
Geography imeniletea shule za sec ila history imeniletea msingi
Hapa nafanyaje?
Au hakuna tatizo
Elimu degree
Kwahiyo niiache hivo hivo ?mana nina Bachelor degree with Education ambayo tangazo linatutaka kuchagua sekondaryHistory mostly ni msingi, na hata Geography baadhi ya shule ni msingi.
sasa shida itoke wap nawakati wameweka wenyeweKwahiyo niiache hivo hivo ?mana nina Bachelor degree with Education ambayo tangazo linatutaka kuchagua sekondary
Kwa wenzangu wanasema wao imewaletea shule za sekondary ila kwangu zinkuja msingi hapo ndipo nashindwa kuelewa.
Shukrani Mkuusasa shida itoke wap nawakati wameweka wenyewe
Fata tangazo linavyokuelekeza uombeKwahiyo niiache hivo hivo ?mana nina Bachelor degree with Education ambayo tangazo linatutaka kuchagua sekondary
Kwa wenzangu wanasema wao imewaletea shule za sekondary ila kwangu zinkuja msingi hapo ndipo nashindwa kuelewa.
Huu mfumo wa kijanga Sana, weka tu primaryKwahiyo niiache hivo hivo ?mana nina Bachelor degree with Education ambayo tangazo linatutaka kuchagua sekondary
Kwa wenzangu wanasema wao imewaletea shule za sekondary ila kwangu zinkuja msingi hapo ndipo nashindwa kuelewa.
ShukraniHuu mfumo wa kijanga Sana, weka tu primary
Mpaka hapa nimefuata tangazoFata tangazo linavyokuelekeza uombe
Duuuhhkuna mwingine hapa eti ananiuliza email....ndio nini...yani nimemuangalia jicho hilo...kisha nikatetemeka kwa hasira...mbaya zaidi ni degree holder eti.
Walivyopata massive application sidhani Kama wataongezaWaongeze mda tu maana wengine shida vyeti na nida haviendani mpaka tumehairisha kuomba
Mwezi mmoja tu, last year deadline ilikuwa 23 may majina yakatoka 25 June,,sahivi mfumo unaambiwa baada ya wiki unakuwa ushachakata kila kituKwa uzoefu tu, hawa Tamisemi huwa wanachukua mda gani mpaka kutoa majina ya waliofanikiwa kuajiriwa.
Mwaka jana walitoa mwezi watano halafu wa saba wakatoa majina ya waliopata kama sikoseiKwa uzoefu tu, hawa Tamisemi huwa wanachukua mda gani mpaka kutoa majina ya waliofanikiwa kuajiriwa.
Saw.Mwezi mmoja tu, last year deadline ilikuwa 23 may majina yakatoka 25 June,,sahivi mfumo unaambiwa baada ya wiki unakuwa ushachakata kila kitu