Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Wakuu Vipi hili suala la kuomba pande zote Wizara ya Afya na TAMISEMI
SUALA hili nimeliwekea uzi Ila naona Mods Siyo kipaumbele chao.

Ajira ni ushindani!
Ukipata huku unaweza kukosa kule na kinyume chake.
Ukipata kote unachagua pa kwenda, iko hivo siku zote na wengine watafill hiyo nafasi!

Kwa nini tunawafundisha Watu kuchangamkia fursa? Kila Siku Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu akiongea anawasihi vijana kukaba Halafu Fursa zikija tunaweka mibano isiyokua na maana.

Sasa wizara ya Afya inakuwekea limitations hata kama unazo sifa!

Nawashukuru OR-TAMISEMI wameupuuza msimamo huo wa katibu mkuu wa Afya.

Naamini hizi ni taasisi mbili tofauti na ndiyo maana Wizara afya wamesisitiza kuhakiki vyeti mahakamani huku TAMISEMI siyo muhimu na mambo mengine mengi wanayopishana

Kama huu ungekua msimamo wa Mh Rais na Serikali kwa ujumla kwenye hizi ajira basi hili katazo lingeonekana Kwenye Tangazo la OR TAMISEMI pia!

Nawasihi vijana Ombeni kotekote huwezi jua bahati yako iko wapi, Tuwapuuze wasomi wenzetu wachoyo wa ridhiki kama huyu Katibu mkuu Afya.
Haya lazima ni maoni yake binafsi.
View attachment 2206222

Makubi huyu?
Wanaona Kuna uwezekano wakajichanganya ukachaguliwa pande zote mbili huku wengine wakakosa fursa ya kuajiliwa.
 
ndugu yangu...roho mbaya haijengi...kama ungekuwa unataka usensitive usingejiunga mitandaoni...kama unayonia ya kusaidia mtu saidia ili akushukuru walau kimya kimya...muda mrefu nimekuona upo na kaubinafsi fulani ambako sio lengo la huu uzi...huu uzi ni wa kuwasaidia wanaopata changamoto kutokana na maombi ya ajira na nina imani ata wewe kwa namna moja ama nyingine kuna mambo kupitia huu uzi umenufaika nayo je...na sisi tungekuwa na ubinafsi kama uliokuwa nao...hata huu uzi usingekuwepo...ifike mahali tutumie mtandao vizuri na kwa nia nzuri na usizani kila mwenye kuutumia huu mtandao basi ni mwenye nia ovu.
May our GOD the most high grant ur wishes mkuu 🙏🏽
 
sometimes ukiwa open kwa watu hao watu hukuombea na kukuwish well….. MUNGU hutubless kupitia kwa watu

kujiombea wenyewe haitoshi the same ina apply kwa hii case

Ubinafis ain’t a good thing that man shoud change
 
JF iwe na option ya ku-remove au ku-denie watu aina hii wasicomment au kuaccess thread especially wakiwa full of hate n negativity
Nilipoti kwa moderator aniban. Option hiyo ipo pia, uzuri hata sura hatujuani unaleta makasiriko kama unachat na jini je [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamii forum raha sana afu yote haya ni kwasababu ya umasikini mshahara wenyewe wa mwalimu take home haizid hata 500000 tunakimbizana balaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]afu kwanza mm nipo Stationary nawafanyia watu tu applications Sina shida ya huto tuajira hata. Ingekuwa maombi ya watu ni sumu basi viongozi wa kisiasa wangekuwa na mabalaa kila siku lakini ona Sasa kila siku wanatembelea ma vi8 and for sure mm sijasomea ualimu wala sijawahi kuwaza mm program yangu ni political science and public administration nimehitimu udom mwaka Jana. Pambaneni madogo acheni kulialia.
 
Nilipoti kwa moderator aniban. Option hiyo ipo pia, uzuri hata sura hatujuani unaleta makasiriko kama unachat na jini je [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamii forum raha sana afu yote haya ni kwasababu ya umasikini mshahara wenyewe wa mwalimu take home haizid hata 500000 tunakimbizana balaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]afu kwanza mm nipo Stationary nawafanyia watu tu applications Sina shida ya huto tuajira hata. Ingekuwa maombi ya watu ni sumu basi viongozi wa kisiasa wangekuwa na mabalaa kila siku lakini ona Sasa kila siku wanatembelea ma vi8 and for sure mm sijasomea ualimu wala sijawahi kuwaza mm program yangu ni political science and public administration nimehitimu udom mwaka Jana. Pambaneni madogo acheni kulialia.
Sawa dear ila jaribu kua na positivity ili hata hawa wanaopita humu wawe na amani wajisikie vizuri

Btw m nimesema tu si kwa ubaya

Enjoy ur journey 🙏🏽
 
Nilipoti kwa moderator aniban. Option hiyo ipo pia, uzuri hata sura hatujuani unaleta makasiriko kama unachat na jini je [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamii forum raha sana afu yote haya ni kwasababu ya umasikini mshahara wenyewe wa mwalimu take home haizid hata 500000 tunakimbizana balaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]afu kwanza mm nipo Stationary nawafanyia watu tu applications Sina shida ya huto tuajira hata. Ingekuwa maombi ya watu ni sumu basi viongozi wa kisiasa wangekuwa na mabalaa kila siku lakini ona Sasa kila siku wanatembelea ma vi8 and for sure mm sijasomea ualimu wala sijawahi kuwaza mm program yangu ni political science and public administration nimehitimu udom mwaka Jana. Pambaneni madogo acheni kulialia.
nilijua tu...
 
Kuna masela wa degree za statistics and mathematics wanataka apply mnawashauri vipi wakuu?
Mimi nimeaply kwa bachelor of science in mathenatics. Wajilipue tu mzee huwezi jua.
Kuna watu kadhaa wa darasa langu walishaga pata kitambo hizi ajira za waalimu, na wengine wanasoma post graduate za ualimu now wakiwa kazini tayari.
 
Back
Top Bottom