Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
[emoji2]Kuna mtu namfaham alisoma BALS (Bachelor of Arts in Language Studies) UD, alifanya application akapangiwa kituo. Alivoreport halmashauri akaulizwa, alisoma kozi ngapi za ualimu, hajui. Akaulizwa kama angalau mbali na content courses anajua ethics, au chochote kuhusiana na kozi yoyote inayotolewa na SOED, akajibu hakumbuki.
Akawekwa rumande kwa siku kama mbili, kisha afukuzwa na kuambiwa akijaribu ujinga huo, wata revoke vyeti vyake
Kwenye course unajazaje? Na teaching subjects unaadika na hiyo statisticsMimi nimeaply kwa bachelor of science in mathenatics. Wajilipue tu mzee huwezi jua.
Kuna watu kadhaa wa darasa langu walishaga pata kitambo hizi ajira za waalimu, na wengine wanasoma post graduate za ualimu now wakiwa kazini tayari.
Teaching course mimi niliingiza tu lenye science with education. Maana mimi yangu ni "bachelor of science in mathematics" (haina education). Maana kwenye course system ilikuwa inacommand ujaze zilizopo kwenye system yao tu.Kwenye course unajazaje? Na teaching subjects unaadika na hiyo statistics
Yaani una probability kubwa ya kupata, sema watu wa Halimashaurina THC wanaweza kukukazia ukiwa unareport especially hawa THC, wanapendaga kuona neno Education kwenye vyeti [emoji2]Teaching course mimi niliingiza tu lenye science with education. Maana mimi yangu ni "bachelor of science in mathematics" (haina education). Maana kwenye course system ilikuwa inacommand ujaze zilizopo kwenye system yao tu.
Teaching subject ni mathematics tuu nklijaza, mimi sikuwa na statistics ni math tu.
Acha tuone mkuu.Yaani una probability kubwa ya kupata, sema watu wa Halimashaurina THC wanaweza kukukazia ukiwa unareport especially hawa THC, wanapendaga kuona neno Education kwenye vyeti [emoji2]
Si unamjibu mbona watu mna hasira za kiwaki sana au depression ninikuna mwingine hapa eti ananiuliza email....ndio nini...yani nimemuangalia jicho hilo...kisha nikatetemeka kwa hasira...mbaya zaidi ni degree holder eti.
Karibu sana sisi watu wa maliasili na utalii tunaskilizia sensa tu kilimo wao mda wowote wanamwagwaHii ishu pevu mi nimehairisha kuomba ngoja nisubiri za sensa tu maana chuo nako wanasumbua na madeni ya uongo, ngoja niendelee kujiajiri tu
UmevurugwaSi unamjibu mbona watu mna hasira za kiwaki sana au depression nini
Mzee, kuna vitu vya msingi ww kama kijana ni lazima uelewe. Sasa kijana yupo chuo kikuu hajui Email n nn, mtu anajua kutumia insta hadi jnc ya kuongeza followers anajua sasa anashindwaje kujua ajira portal.?Unaonekana unajikuta sana hatuishi hivyo boss
Wanajikuta wajuaji sanaUmevurugwa
Hizi pigo wazungu hawana unamuuliza swali anakujibu hataki kujua kama unajua au laa madamu umeuliza atakujibu unless ni swali na lipo kwenye moral code utajibiwaMzee, kuna vitu vya msingi ww kama kijana ni lazima uelewe. Sasa kijana yupo chuo kikuu hajui Email n nn, mtu anajua kutumia insta hadi jnc ya kuongeza followers anajua sasa anashindwaje kujua ajira portal.?
Acha kulalamika kwa vitu vya kipuuzi, Jiongeze.
Ww ni Zumbukuku.Hizi pigo wazungu hawana unamuuliza swali anakujibu hataki kujua kama unajua au laa madamu umeuliza atakujibu unless ni swali na lipo kwenye moral code utajibiwa
Ila sasa tukija kwenu wabongo werevu ambayo mnajikuta mna vipimo vya maswali .. yeye kutumia instagram haikuhusu wewe ,yeye kufika chuo kikuu asijue email ni nini haikuhusu wewe je kama alitingwa siku hiyo we cha kufanya umeulizwa unajibu mbona simple tu
Haya majibu yenu ni rahisi sana ku asses nyie ni watu wa aina gani
We boya tu unajikuta mjuaji kumbe mshamba tuWw ni Zumbukuku.
🥒 Kalia.We boya tu unajikuta mjuaji kumbe mshamba tu
Kafirweee huko[emoji1646] Kalia.
Bado ni bila bila.Haya tuambizane kimejiri nini huko
Una Dhani kwenye huu uzi Kuna watu watatoboa?, basi mtakaowin msisahau Kuja kutupa Asante maana tuliwasaidia sana kwenye changamoto mbalimbali wakati wa job applicationBado ni bila bila.
Huyu mtoa mada inabidi apateUna Dhani kwenye huu uzi Kuna watu watatoboa?, basi mtakaowin msisahau Kuja kutupa Asante maana tuliwasaidia sana kwenye changamoto mbalimbali wakati wa job application