Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Sasa ndugu yangu huoni kama unataka ufananishe mbigu na ardhi kama wasemavyo waswahiliKwa hiyo ni kosa la nani
Vipi kuhusu mitandao kama Google', facebook, jamiiforums nk yenye watumiaji wengi kuliko hiyo ya tamisemi?
Ndio ni sawa haya kwahiyo mtu wa IT unataka afanye nini wewe mjuzi?Kama hujui kitu bora ukae kimya tu.
Kama nakuona vile unaenda kuua 😁😁sehemu ya chuo imekubali waungwana...View attachment 2196647
Natumia tab mbili zimeniandikia hivindio unaattach barua ya maombi
Ajira portal niliwahi kuandika kwa simu kwenye Microsoft Word na Nika-sign Kwa application ya docu-sign, sasa kwa upande wa tamisemi sijajuaWakuu mliofika sehem ya barua, nisaidieni hili
Itakuwa kwenu walimu tuu...sehemu ya chuo imekubali waungwana...View attachment 2196647
Inaandikwa kwa mkono kisha unai scan then unai uploadWakuu barua ya maombi inaandikwa kwa mkono au inabidi itypiwe?
Kuwa serious basi kijana.... Yani uandike kwa mkono maombi ya kazi katika ulimwengu wa sasa?[emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu barua ya maombi inaandikwa kwa mkono au inabidi itypiwe?
Zinaandikwa kwa mkono boss afu unazi scanKuwa serious basi kijana.... Yani uandike kwa mkono maombi ya kazi katika ulimwengu wa sasa?[emoji23][emoji23][emoji23]
Type hiyo barua, print kisha weka saini, kisha scan upate soft copy ya ku upload kwenye sehemu yake.
Sasa ndugu zangu walimu na manesi hapa kosa la mtu wa IT ni lipi jamani?
Mbona mnapenda kutoa lawama sana.Haya unataka mtu wa IT afanye nini cha ziada hapa?
Nakupa elimu ya bure ili siku nyingine kabla ya kuponda IT wa bongo ujue nini kiko nyuma ya pazia.
Ni kwamba unapoingia kwenye browser yako na kutype address yako kwa ajili ya page hiyo ya maombi.Browser yako ndio inakuwa mteja na mhudumu wake ni hizo servers ambazo zina hiyo page.
Ombi lako linapochelewa kushughulikiwa ni kwamba unakuwa umewekwa foleni kwa sababu server inakuwa imepokea maombi mengi na kila ombi linalotumwa linakuwa na mda wake wa kusubiri kabla ya kujibiwa.Mda wa kusubiri unaokuwa umepewa ukiisha bila kuhudiwa wewe unakuwa umetolewa kwenye foleni.
Sasa kama kwa kifupi sana jambo liko hivi kosa la IT wa bongo ni lipi sasa hapa?
Na Mimi changamoto ni hapo. Unatumia simu au ? Mim natumia PC nataka nijaribu SimSehemu ya ku-upload Vyeti vya chuo na kiselect course panazingua kinyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukisha jaza unaruhusiwa ku editNa Mimi changamoto ni hapo. Unatumia simu au ? Mim natumia PC nataka nijaribu Sim
Haaa sio iyo tu ata kwa Science wanakuletea Bachelor of Science with Education Chemistry na Biology tu kwa UdsmNaomba kuuliza wapendwa mbona Kwenye kuselect kozi bachelor of education in arts Hamna??? Au hiyo kozi haipo kwenye maombi??
Natumia simu asee mpaka saa hivi option ya kuselect course na ku-upload Vyeti haitaki kufunguka na mwaka wa kumalizaNa Mimi changamoto ni hapo. Unatumia simu au ? Mim natumia PC nataka nijaribu Sim
Sio kwa udsm tu.Haaa sio iyo tu ata kwa Science wanakuletea Bachelor of Science with Education Chemistry na Biology tu kwa Udsm