The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Walimu wa kiswahili na geography wanaruhusiwa kuomba somo moja tu. Ukiweka moja lingine linakataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
viwe vinasomeka...Maelezo mengi hayana jibu.tunatuma vyeti rigino au copy?
umesoma ila n zero brainNanyie hivi mnakosaga vyuo vya kwenda mpaka muende vyuo vyenye ghorofa moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ilinibidi nicheke tu ndugu yanguumesoma ila n zero brain
nadhani ni muda wa kuwa pigia simu tamisemi ili kupata jibu sahihi kuhusu marian university college kwenye course bachelor of education in science .Ilinibidi nicheke tu ndugu yangu
Hii nchi vichaa wengi sana
Yani apo ndo shida iliponadhani ni muda wa kuwa pigia simu tamisemi ili kupata jibu sahihi kuhusu marian university college kwenye course bachelor of education in science .
Saiz naona unasuasua tu apaLeo TU kwangu ndio system haifunguki au ni Kwa wote?
Nadhani itakuwa n mtandao mbovu tuumbona machaguo ya sehemu za kazi hazionekani baada ya kutuma na zimeenda successful
View attachment 2200025
Ww jamaa bhana 😂😂 c unaona hapo wameandika reg. Number au.?Kipengele hicho cha registration no ni ipi wakuuView attachment 2199810
Duh [emoji1787] [emoji1787] kama wasomi ndio hawa hii nchi tumepigwa. Muhuri wa nini na kutoka wapi???Je barua inahitaji mhuri??
C unajua tena hofu ya wanyonge 😂😂 labla alijua barua inapita kwa mwenyekiti wa mtaaDuh [emoji1787] [emoji1787] kama wasomi ndio hawa hii nchi tumepigwa. Muhuri wa nini na kutoka wapi???
Hizi ni hofu kutokana na mtu kukosa nafasi kwa muda mrefu jambo ambalo linamfanya awe na wasiwasi na kila anachokifanyaDuh [emoji1787] [emoji1787] kama wasomi ndio hawa hii nchi tumepigwa. Muhuri wa nini na kutoka wapi???
Hata hivyo ni PATA POTEA BadoHizi ni hofu kutokana na mtu kukosa nafasi kwa muda mrefu jambo ambalo linamfanya awe na wasiwasi na kila anachokifanya
Msaaada: je school laboratory techincian wanaruhusiwa kuomba ajira????unatakiwa kufungua akaunti mpya utabonyeza JISAJILI kama picha inavyoonyesha hapo chiniView attachment 2196224
baada ya hapo utaingiza email yako kisha hakikisha pasword unayoweka inamchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo alama za uandishi pamoja na namba.... mfano 123@MHAndo utaweka na namba yako ya simuView attachment 2196225
kisha itafuata sehemu ya kuthibitisha taarifa zako za NIDA hapo utaingiza namba yako ya nida yatafuata maswali...ili wawe na uhakika kama wewe ndio mwenye namba hiyo ya nida...ukivuka hapo utakuwa teyari umeshafungua akaunti....
baada ya kufanikiwa kufungua akaunti ukitaka kulog in utaingiza namba yako ya nida bila vile vialama vya toa... mfano 200021214120000824
Haya mambo yanakatisha tamaa sana, unakuta mtu n mwaka wa 22 huu anaomba ajira lkn bado anaangukia pua na hajui anapokoseaHizi ni hofu kutokana na mtu kukosa nafasi kwa muda mrefu jambo ambalo linamfanya awe na wasiwasi na kila anachokifanya
Duh [emoji1787] [emoji1787] kama wasomi ndio hawa hii nchi tumepigwa. Muhuri wa nini na kutoka wapi???