Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Nakuambia hivi nishapitia wanaume wa hivyo shule kamili ninayo kichwani, G wangu ni malaika hakuna kama yeye jasiri haachi asili nakuambia,Nakukumbusha usiusemee moyo. Shukuru Mungu hujajua the other side of him ila sio kwamba he's a saint my friend..
Inshaalaah soonNdoa ni lini
Umeolewa lakini?Hebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,
Akili yangu inajua nna mme halaf asilale kwangu akalale kwingine ,nnaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]
Basi kila mmoja atajifanya hajui ukewenza semeni ukweli mlio na wakewenza tupeni ustahimilivu ikitokea na sisi tujue namna ya kurekebisha,maana sioni dalili hata ya kuwaza kumuacha G,ndio kwanza penzi linaninogea kila sehemu,zamani niliokota kokoto sasa nimeokota dhahabu nadekezwa,naringa,napendwa mpaka najisikia raha na furaha
Umeumizwa na nini mchumba?
Ni ngumu sana hii jamaniShoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Msaidie ,,kwa njia yangu nipp salama asilimia 100
Kaumizwa na wewe ,wanakuumiza wengine wakati yeye yupo wa kukupa furahaUmeumizwa na nini mchumba?
We hutujui vizuri wanaume, utapata tabu sanaWangu ni tofauti sio kama wanaume zenu hao
🙏🏾Inshaalaah soon
Poleee sana najua situation yakoSisaidiki ndo shida. Namuacha mtu nikitaka ila sio pressure from outsiders. Rafiki zangu wameongea wamenyoosha mikono. Nitamuacha I know ila moyo ukiea tayari kama sada hivi..
Kaumizwa na wewe ,wanakuumiza wengine wakati yeye yupo wa kukupa furaha
Akikwambia anakuhalalisha kwa ndoa kwa jinsi unavyompenda unaweza usichomoe hapo ndio story za ukewenza zinaanzia!!Sisaidiki ndo shida. Namuacha mtu nikitaka ila sio pressure from outsiders. Rafiki zangu wameongea wamenyoosha mikono. Nitamuacha I know ila moyo ukiea tayari kama sada hivi..
Wangu lazaliwa dunia nyingineWe hutujui vizuri wanaume, utapata tabu sana
Basi tu hajapata sahihi siku akipata ataniambia naamini,ukitendwa unaona kila mwanaume vile vile humuamini
Nakupenda[emoji1488]
Maadui hawaishi hata siku mojaKwenye mambo haya, usijipe guarantee kabisa kabisa.
Keep it in your heart, and keep praying.
Ila punguza guarantee kwa adui.
Poleee sana najua situation yako
Kaumizwa na wewe ,wanakuumiza wengine wakati yeye yupo wa kukupa furaha