TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Yaani namaanisha hiyo kombinesheni inakua ni shidaaa..😀Tatizo gani tena? Kwamba Ni kibonge sana? Maana katika vitu sipendi Ni kuitwa kibonge
Urefu
wangu Ni huo huo uliokadiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani namaanisha hiyo kombinesheni inakua ni shidaaa..😀Tatizo gani tena? Kwamba Ni kibonge sana? Maana katika vitu sipendi Ni kuitwa kibonge
Urefu
wangu Ni huo huo uliokadiria
Lugha za kisasa hizi doh,Yaani namaanisha hiyo kombinesheni inakua ni shidaaa..😀
Wale wanakuwa na mapaja mazito kwahiyo una kazi ya kuyashika yasishuke chini wakati wa missionary position
Kaka Hilo ni furushi
Hapa kwenye gari chaiMazoezi ni mvivu sana hata kutembea ni shida. Nimesha mnyang’anya gari, ila bado ni shida ile ile
Uko na kapicha tuone [emoji847][emoji847]Kuzaa hakufanyi mwili uumuke hongera sana kwa kujitunza vyema, mi ninao 3 na tumbo navaa inch 30, hips inch 47 na uzito ni 78kg na huwa zinashuka mpaka 68kg kwahiyo unaweza kuona kuwa kuzaa si sababu ya mwanamke kupoteza mvuto wa kimuonekano
Kwakweli. Hili ni ombi la wengiUko na kapicha tuone [emoji847][emoji847]
🙄🙄🙄Uko na kapicha tuone [emoji847][emoji847]
Kitu gani kinakufanya uamini ayafanyayo ni kwa ajili ya ubonge wake? Kuna kitu kwenye Takwimu kinaitwa 'spurious correlation'. Ni sawa na kuona kombi imejaa Waislamu wanatoka msikitini siku ya Idd wamevaa kanzu. Gari ikapata ajali wakafa 90% yao lakini mmoja aliyekuwa hakuvaa kanzu akapona. Unarukia kusema kuvaa kanzu kumewaponza hao waliokufa.Habarini za asubuhi, mke wangu ana uzito wa kilo 101, tumekaa katika mahusiano takribani miaka saba, (7) sijui wenzangu wenye wake wenye uzito mkubwa mnapitia experience nayopata au ni wa kwangu tu?
Changamoto ya kwanza: Akilala saa nne ni mpaka asubuhi hata hageuki wala kuniamsha ni shida kweli nikiwa na ratiba ya kudamka.
Changamoto ya pili: Ni kukoroma akiwa katika usingizi mzito, huwezi kupata usingizi mpaka amalize kukoroma.
Changamoto ya tatu: Akikaa kutizama runinga lazima alalie sofa au anilalie mimi nikiwa karibu nae, ni marufuku kwake kukaa upright kwenye kochi sebuleni.
Changamoto ya nne: Hapendi kula breakfast mapema, anapendelea ale saa tano au sita, alafu hali lunch tena mpaka supper. Anakula milo miwili tu kwa siku.
Changamoto nyingine: Anapendelea missionary style tu (wakubwa mmenielewa) lakini anapenda almost kila siku mchana au asubuhi ila sio usiku wa manane!
Je ni wa kwangu tu au wote wenye unene huo wako hivyo?
Tafadhali karibuni wenye wanene kama wa kwangu tupeane uzoefu na suluhisho la kutatua chang'amoto hizo za wake zetu wapendwa.
Mkuu unamanisha nini? Ndomaana nimeuliza wenzangu niwakwangu tu au nawengine?Kitu gani kinakufanya uamini ayafanyayo ni kwa ajili ya ubonge wake? Kuna kitu kwenye Takwimu kinaitwa 'spurious correlation'. Ni sawa na kuona kombi imejaa Waislamu wanatoka msikitini siku ya Idd wamevaa kanzu. Gari ikapata ajali wakafa 90% yao lakini mmoja aliyekuwa hakuvaa kanzu akapona. Unarukia kusema kuvaa kanzu kumewaponza hao waliokufa.
....halafu pia hapo downtown, Usikivu wa Mikito yako unakuwa Hundred parcent!!...hakuna kupwaya pwaya kusikotakika, if you know what I mean!![emoji16][emoji16]Doggy VP au una kiba100 ... Hilo Ni Swala la kuzungumza na Bebe wako.
Kazi ipo akifika mshindo mapaja yanakuwaga mazito ghafla...kazi kuzuia Kama alivyosema mdau hapo..
Hiyo Milo miwili...
Kiepe sana...
Nyama nyama...
Tuvitu twa kukaanga kaanga...
Me nimepiga marufuku Ila Mtu ndo anazidi kuwa Tembo.
SEMA downtown Manhattan kunakuwaga Tight alafu Kina Kifupi.
[emoji3531][emoji526] vibonge.
Nilichokuwa nadadisi ni kuoanisha kwako kwa ayatendayo na ubonge wake. Hata kichwa cha habari kinaashiria kwamba unaamini ayafanyayo yanatokana na umbile lake. Ungeeleza tu ayafanyayo bila kulenga causal relationship kwa maana ya cause and effect.Mkuu unamanisha nini? Ndomaana nimeuliza wenzangu niwakwangu tu au nawengine?
Tuvumilie shida?Mbona nyie hamvumilii kulala nje?kulala njaa?na umaskini?Namaanisha mvumiliane tu
Nimecheka sana huu uzi, eti Downtown Manhattan, au No.10 Downing Street...au The Kremlin, huku wanaita Ikulu ya Magogoni[emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka mbavu sina!Doggy VP au una kiba100 ... Hilo Ni Swala la kuzungumza na Bebe wako.
Kazi ipo akifika mshindo mapaja yanakuwaga mazito ghafla...kazi kuzuia Kama alivyosema mdau hapo..
Hiyo Milo miwili...
Kiepe sana...
Nyama nyama...
Tuvitu twa kukaanga kaanga...
Me nimepiga marufuku Ila Mtu ndo anazidi kuwa Tembo.
SEMA downtown Manhattan kunakuwaga Tight alafu Kina Kifupi.
[emoji3531][emoji526] vibonge.
😂😂😂😂😂 Alafu ikulu Moto huwa hauzimi ,Siyo pachafu ...Nimecheka sana huu uzi, eti Downtown Manhattan, au No.10 Downing Street...au The Kremlin, huku wanaita Ikulu ya Magogoni[emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka mbavu sina!