raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Stori za Komasava watakuwa wanasimulia wao kipindi hicho πUna maanisha hawa vijana wa Gen Z nao wataulizwa na wajukuu zao kuwa "ulikua wapi wakati chanika maeneo yanauzwa 2m kiwanja??"
Watajibu "tulikua kataa ndoa!" ππ
Chanika kwenda kariakoo nauli 1200Chanika nina dada'angu mpaka leo hatuongei vizuri harusi yake ilifanyika huko na mimi niliteuliwa kama mtoa neno wa familia nikaondoka Kariakoo saa tisa kipindi hicho Chanika mgeni nikijua nitawahi.
Barabarani foleni changanya na umbali nilifika ukumbini nikakuta wanakula tena na chakula nikakosa,mimi mtu anaeishi Chanika namuheshimu wale wana uvumilivu wa kipekee.
Hapan chiefStill tukitika wote pale askari monument me nafika Kibaha we ata Pugu mataa haujaiona.
duh poleChanika nina dada'angu mpaka leo hatuongei vizuri harusi yake ilifanyika huko na mimi niliteuliwa kama mtoa neno wa familia nikaondoka Kariakoo saa tisa kipindi hicho Chanika mgeni nikijua nitawahi.
Barabarani foleni changanya na umbali nilifika ukumbini nikakuta wanakula tena na chakula nikakosa,mimi mtu anaeishi Chanika namuheshimu wale wana uvumilivu wa kipekee.
wastani wa milioni 10 kwa mwakaSasa hv wanachekwa
Miaka 20 ijayo wakianza kuuza maeneo yao 200mil
Haina foleni kutoka goms na mataa yapo pugu tuBarabara ya kwenda Kibaha ni njia nane. Kwenda Chanika sehemu kubwa ni njia mbili.
Uzaramo-nichanika ni uswahilini sana
Sio kweliMkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.
Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes anashuka Kibaha sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
Wewe usiseme hivyo me juzi nimetokea city center kwenda kibaha kwa mfipa na kurudi asee sisiti kusema ni zaidi ya Moshi - ArushaKutokea Ubungo Kibaha mrembo sana.
Mkuu kwa mtu anaejitafuta unashauri achukue wapi kiwanja sasa maana mimi nilianza kufikiria huko chanikaSIkupingi mkuu uko sahihi
Ukitaka udumae akili na uwe na mindset ya kiswazi ishi hizo wilaya Temeke au Ilala
Kutoka Gongo la Mboto Mwisho ni km 30Chanika mbali kama kibaha?
Chanika kuna raia kama wote, bora kule unless mishe zako uwe unapigia pande za Tegeta au Bunju au Mbezi ndio kumekaa kushoto, lakini kama ni Posta au Kkoo basi fresh sanaMkuu kwa mtu anaejitafuta unashauri achukue wapi kiwanja sasa maana mimi nilianza kufikiria huko chanika
Alikuwa amepuliza marijuana si bureMkuu unatembea kwa kupenda au ni ugumu wa maisha?
Mkuu kwa mtu anaejitafuta unashauri achukue wapi kiwanja sasa maana mimi nilianza kufikiria huko chanika
Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,msafara wake pale Pugu anaelelea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
You can't be serious... nauli ingekuwa elfu 2 hapoKutoka Gongo la Mboto Mwisho ni km 30
Kwamba basi inapiga chanikaLeo nimeamini Chanika ilipaswa iwe mkoa wa Pwani.
Angalia picha inajieleza kabisaView attachment 3100573View attachment 3100574