da!!!, Mwenyezi Mungu atusaidie....Kwa elimu ya chanjo niliyo nayo na hii miundombinu tuliyo nayo katika uhifadhi wa chanjo na hakika zile chanjo zitakuwa zishaharibika hivyo atakaye enda kuchanja hana tofouti na yule ambaye hajachanja…
Pia mwenyekiti wa CHADEMA alisema watu walazimishwe kuchanja inamaana ameshindwa kuwalazimisha makamanda wote wachanjwe?Sitaki kuamini hata wanachama pekee wa CCM wameshindwa kuzimaliza hizo chanjo milioni moja, maana nakumbuka Polepole alikuwa anasema wana wanachama hai zaidi ya milioni nane.
Kuna kitu hakiko sawa kwenye chanjo za J&J in term of efficacy kulinganisha na chanjo nyingine za Uviko 19, ila nilisikia bakabaka na askari wengine walichanjwa kwa nguvu, nje ya hapo unatengwa.Pia mwenyekiti wa CHADEMA alisema watu walazimishwe kuchanja inamaana ameshindwa kuwalazimisha makamanda wote wachanjwe?
Bakabaka hawa hawa wa Tanzania? Madam ana ubavu huo? Nikweli mkuu, JPM alikuwa mashine yule jamaa.Kuna kitu hakiko sawa kwenye chanjo za J&J in term of efficacy kulinganisha na chanjo nyingine za Uviko 19, ila nilisikia bakabaka na askari wengine walichanjwa kwa nguvu, nje ya hapo unatengwa.
Bora tungeendelea kuyaishi maneno ya Hayati Tanzania ingeendelea kuwa salama.
Basi itakuwa ni askari na wale ndugu zetu wanaotumia hisia ya sita.Bakabaka hawa hawa wa Tanzania? Madam ana ubavu huo? Nikweli mkuu, JPM alikuwa mashine yule jamaa.
Sema huogopi wew, jiwe mwenyewe ilimdondosha baada ya kuiletea ujuajiChanjo zimewadodea, sasahivi Watanzania sio mapompoma tena,hao mawaziri wawadunge watoto wao,huku kwetu mtaani corona tunaisikia redioni na kwenye matangazo ya tv,sasa nidungwe sumu za nini, wakati corona tangu imeingia sijawai kutana na mgonjwa wa corona,hata mtaani kwangu sijawai kusikia kifo cha mgonjwa wa corona.R.i.p Magufuri kwa kutuambia ukweli,hata ifike wimbi la kumi atuogopi
Hii siyo kweli pale kwa Mkapa pekee siku ya wananchi wamechanjwa watu 60,000
Kama wangelikuwa wanaiogopa corona hivo,watu wangelikimbilia chanjo,pamoja na promotion zote,wamepata watu laki tatu tu,hauoni kuwa watu hawaogopi corona?Sema huogopi wew, jiwe mwenyewe ilimdondosha baada ya kuiletea ujuaji
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuku wangu ninao wafuga nikitaka kuwapa chanjo nikienda dukani hiyo chanjo inatolewa kwenye freezer na unapewa na barafu ya ku escort hiyo chanjo.Upo sahihi mkuu,kuna mahali nilipita na mchina flan tukakuta jamaa wanashusha box za chanjo,aisee yule mchina alishangaa sana akasema hivi kweli ile ndyo chanjo?mbona imewekwa hovyo vile,nikamuuliza kwann? akasema chanjo inatakiwa kuwekwa mahali penye kiwango flan hv cha ubaridi muda wote.
Na walio na masafari ya nje ya nchi!Kwa utafiti wangu, idadi kubwa ya waliochanja ni wahindi na wageni wengine
Ni kweli khs suala la uhifadhi, lakini kwa ninavyojua mimi sijaona mtu yeyote aliyepata chanjo nikiwemo mimi, ameugua eti kwa sababu ya chanjo 🙄ukiangalia % kubwa ya watu waliochanja wengi wao wamekuwa wakiugua kwa muda na wengine wameishia kupoteza maisha, hii yote ni kwamba utaratibu mzima wa kuhifadhi sio rafiki
Hakuna mtanzania mpumbaavu wa kuchoma chanjo za majaribio ovyoovyoSiku moja nilimsikia mheshimiwa sana waziri wangu wa Afya akisema watu wanajitokeza kwa wingi kudungwa kuliko walivyo tarajia, siku nyingine nikamsikia mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu akisema kuwa kinacho muumiza kichwa kwasasa ni wapi watapata chanjo zaidi, maana kwa jinsi hizi za awali zilivyo changamkiwa ni wazi kuwa hazitoshi.
Swali langu ni jepesi tu, endapo watu wanajitokeza kwa kasi hiii, mbona haziishi? Yaani pamoja na kuziandalia siku maalumu pale uwanja wa taifa, pamoja na timu zetu kuhamasisha mashabiki wake, pamoja na vyombo vya habari kuzipa promo, pamoja na viongozi wa Bunge kuhamasisha, pamoja na wasanii kuzitungia nyimbo lakini hazijaisha mpaka leo.
Nini tatizo? Waziri wa Afya na naibu wako mnakwama wapi?
Nikweli kabisa chanjo zimesha haribika watakao choma sasa wajitizame sanaKwa elimu ya chanjo niliyo nayo na hii miundombinu tuliyo nayo katika uhifadhi wa chanjo na hakika zile chanjo zitakuwa zishaharibika hivyo atakaye enda kuchanja hana tofouti na yule ambaye hajachanja…
Ni mkosi wewe kuzaliwa.Zikiisha watawachoma maji. Hela za kununua chanjo hakuna.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tutawaingiza chaka wacha wajidanganye kuleta chanjo milioni 12 zote zitamwagwa dampoZikisha ndio vizuri ziletwe nyingine!
Nnadugu ni nesi yeye hatampango wa kuchanja hana na huwez mshawishi achanjeMpaka juzi ni watu laki 3 wamechanjwa. Hata hizo timu wanazosema ni geresha tu. Hao manesi ndio kabisa wamegomea kuchanjwa. Duniani kote kuna maandamano ya kugomea hizo chanjo. Wanaozipigia kampeni ni wale waliochanjwa ili muingie kwenye kapu moja
Well said