#COVID19 Chanjo milioni moja hazijaisha tu?

Usiwapumbaze watu wenye umri mkubwa, wahamasishe waende wakachanje, Corona huwa inaondoka na watu wenye umri mkubwa Mara nyingi, kwani hujui hivyo?
 
Chanjo zimedoda ndo maana wamemchukia Gwajima kila Kona wanamsaka sijui Bungeni, kwenye chama😂😂😂😂

watajiju
Nchi ya watu 60m.chanjo 1m.tu zinawatoa kamasi.


Yachimbieni kwenye shimo muwadanganye wazungu yameshatumika.Mlifikiri Watanzania ni Zombie?

Jasusi la Mbinguni.
Jabali kutoka Mbinguni.
 
Msemaji Msigwa anasema mwitikio ni mkubwa sana mpaka sasa watanzania laki 3 wameshachanjwa na foleni ni kubwa kwenye vituo nchi nzima.... unabaki kujiuliza maana ya mwitikio mkubwa ni nini?
Msigwa Ni sawa na radio, unapokea matangazo kutoka uwanja wa taifa, anachokisimlia na kilichopo uwanjan Ni Kama yule aliesema yes alkuwa na mke, yaan huwezi kuwaelewa,

Unahitaji msaada mkubwa wa maabala kuwaelewa Hawa binadam..

Tusiwalaum wanatetea ugali wao
 
ndiyo maana walichagua za JJ maana zinahifadhika katika ubaridi wa kawaida kama chanjo nyingine, tofauti na Pfizer inayohitaji ubaridi wa hasi 50 centgrade
 
Huyo bibi asipowaelewa watz wa leo walioelimishwa na kumuelewa jpm, atapata tabu sana. Sie siyo marofa kiasi hicho aisee kuchezea uhai wetu. Anatakiwa arudi kwenye mstari na ajue tunakisikiliza sana kivuli cha jpm kuliko hata yy aliyeko magogoni
 
Huyo bibi asipowaelewa watz wa leo walioelimishwa na kumuelewa jpm, atapata tabu sana. Sie siyo marofa kiasi hicho aisee kuchezea uhai wetu. Anatakiwa arudi kwenye mstari na ajue tunakisikiliza sana kivuli cha jpm kuliko hata yy aliyeko magogoni
Naona jana kawatuma waimba taarab wake wakamnange Gwajima bungeni, hajui kwamba Watanzania tuna akili nyingi na tumeshanusa mwisho wake tayari.
 
Usiwapumbaze watu wenye umri mkubwa, wahamasishe waende wakachanje, Corona huwa inaondoka na watu wenye umri mkubwa Mara nyingi, kwani hujui hivyo?
Mtaani kwetu,kuna wazee wengi sana tena wengine wana magonjwa nyemerezi ya kisukari,presha, lakini toka wimbi la kwanza mpaka sasahivi wote wanadunda,wewe kamwamashishe Baba yako na ukoo wenu wote, wengine tumekataa kufanyiwa majalibio.Nasikia Zanzibar inabidi warudie chanjo ya mwanzo haifahi 😀😄😃😃
 
ndiyo maana walichagua za JJ maana zinahifadhika katika ubaridi wa kawaida kama chanjo nyingine, tofauti na Pfizer inayohitaji ubaridi wa hasi 50 centgrade
Kama hujui kitu si lazma ukiandikie, ni nani? Aliyekudanganya kuwa J&J vaccine ni thermostable? Kumbe ndio mnavyomdanganya mama eeh….

Kwa kukusaidia ni kwamba J&J vaccine ni thermo-unstable vaccine na inahifadhiwa katika nyuzi joto 2-8 ili kuendelea kufanya kazi vizuri nje ya hapo itafaa kutumika ndani ya masaa 12 tu…
 
Bibi anahangaika tu magogoni, vibaraka wamemkalia kooni kala hela zao.
 
Huwa najiuliza sana,majirani zangu,kazini kwangu,marafiki zangu wote tunakutana kila siku, kwenye magroup ya wasap n.k

Sjawahi sikia mtu kafa kwa huu upuuzi...aisee wamefeli vibaya sana
Hata mimi kwa kweli niwe mkweli sijawahi kusikia mtu ninayefahamiana nae kabisa amefariki kwa Covid. Ninasikiaga tu kwa watu wakisema. Na hao wanaosema wanasikiaga pia[emoji23][emoji23][emoji23]

Na hata kama wanakufa, takwimu zinaonesha wanaokufa haizidi hata 2% ya wote wanaougua. Yaani 98% wanougua wanapona, achilia mbali ambao hawajaumwa[emoji3][emoji3][emoji3]

Na hao 2% (ya wanaougua tu, sio ya watu wote) wanaokufa, katika hiyo 2% humo ndani yao kuna wazee, wenye magonjwa mengine sugu, n.k.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa maana hiyo wanaokufa wakiwa wazima kabisa bila kuwa na matatizo mengine unaweza kukuta hawafiki hata 1%[emoji23][emoji23][emoji23]

Alafu bado wanakulazimisha chanjo. Matangazo yote yanatutia hofu,viongozi wote wanatutia hofu. Hakuna anayetueleza upande mwingine wa kutochanjwa na kutokufa. Lengo lao ni tudungwe tu. Inaonekana kuna biashara kubwa ya watu, na woga wa kupoteza madaraka kwa wenye nyadhifa kiasi kwamba wanaona namna ya kubaki salama ni kuhakikisha watu wao wanadungwa tu.


Mi nitakuwa wa mwisho kuchanjwa.
 
Ataendelea kulishwa matango pori hadi akili imkae sawa, Hayati hakuwa mjinga kufanya ziara za mikoani…
Nikweli kabisa, wataalamu na watendaji wa Bongo ukiwasikiliza unaweza hisi raia wanaishi maisha bora sana na wanakupenda sana kumbe wanakuingiza mkenge, sasa ukiwa na akili za Msoga inakula kwako.
 
Ebu soma tena uelewe nilichoandika
 
Hata watumishi wa umma pekee wangemaliza
Hii chanjo imetuumbua, Dunia imeshatujua kuwa Watanzania bado tupo nyuma sana kielimu, ni watu wa kusikiliza sana maneno ya vijiweni na ni wepesi sana wa kukaririshwa uongo, Hivi haya mataifa yote yaliyoendelea duniani yanawachanja RAIA wao yana nia mbaya na RAIA wao ? Hii haihitaji elimu ya chuo kikuu kugundua bado tuko nyuma sana kielimu
 
Atakae chanjwa aondoke na chupa yake, wanaweza kuondoa wasi wasi wenyewe watajionea uhai wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…