Katika ule mukthadha wa kukubali kutokubaliana, ikumbukwe kuwa iliombwa watu kuweka orodha ya wahanga wote wa hizi changamoto za kupumua, kila inapowezekana. Kuondoa tashwishi hapa ninaweka tarehe tulizopoteza wanasheria nguli hadi kufikia 09.07.2020 idadi yao mbele katika mabano (kama...
Wewe unafikiri hivyo vidonge havitokani ni miti shamba? Hujawahi kuugua wewe siku ukiugua na dawa za kizungu zikadunda na ikabidi uponyeshwe na miti shamba ndiyo akili zitakurudia.
Wewe unafikiri hivyo vidonge havitokani ni miti shamba? Hujawahi kuugua wewe siku ukiugua na dawa za kizungu zikadunda na ikabidi uponyeshwe na miti shamba ndiyo akili zitakurudia.
Hapo ulipo tu lazima kuna kitu kina madhara kwako. Hata hiyo simu unayotumia, ina mionzi yenye madhara. Wanaotaka chanjo waacheni ni hiyari yao, nyie mnaoamini kuwa kuna wazungu wanataka kuwaua mkajifiche, hata chini ya mawe!
Nitapata chanjo yangu inshallah pamoja na washirika wangu makwetu. Hili si zoezi la kukosa mimi na wote niwapendao. Hayawi hayawi hatimaye huenda yatakuwa.
Tumefika kujiandikisha 08:00: wenye magonjwa mengine na wazee 50+ kwa mujibu wa waraka wa wizara.
Karibu Tanzania. Huku ndiko Dunia iliko:
1. Pana watu kwenye makundi lengwa wangali hawana vitambulisho vya Nida wala namba za Nida.
2. Kwenye kundi #1 wapo pia wengine ambao hawana vitambulisho vingine vyovyote katika vilivyotajwa kwenye waraka.
3. Katika walengwa kuna vikongwe 100+ wa kubeba kuwasogeza hata kwa umbali wa mita 1.
4. Katika walengwa wapo wasiokuwa na simu achilia mbali smartphone ya kujisajili online.
5. Maelekezo ya kujisajili mitandaoni kwa hakika hayana cha kufanya na Tanzania hii.
Mwitikio wa watu kujiandikisha ni mkubwa sana. Uhamasishaji haukuwa mdogo. Ni muhimu wote hawa wakawezeshwa kupata chanjo hii bila kukosa.
Itakuwa si haki kwa watu hawa wanaoihitaji chanjo kufanywa binadamu daraja la 2.
Nilipata nafasi ya kusema mawili matatu na maafisa waliokuwa wanafanya usajili huo. Nikidhani kuwa hatarini walikuwa ni wazee na wenye magonjwa mengine peke yao.
Haya ndiyo yaliyokuwa majibu yao:
"Mnadhani wanaokufa na ugonjwa huu ni wazee peke yao? Mbona vijana wengi tu nao unawaondoa?"
Bado sijachwanjwa labda hadi kesho. Tumeambiwa tutapigiwa simu. Bado hatujapata confirmation. Bado tunasubiri. Bado hatuachanjwa hadi tutakapokuwa nimechanjwa.
"Kama wasafiri bado tungali tuko njiani" -- King Kikki.
Hatukupokea simu yoyote tofauti na tulivyo ahidiwa. Kama tulivyodhamiria tukaamua kivyetu vyetu tukatia timu.
"Mambo bado" --- mtoto mzuri Tshimanga Assosa.
Tumeambiwa tutapigiwa simu tuwe na subira, kwani hata wafanyakazi wa afya wote wa mkoa huu na hata wa mikoa yote ya jirani pia bado hawajachanjwa na haijulikani watachanjwa lini.
Hivyo tuendelee tu kusubiri simu. Haijulikani simu zitakuja lini.
Chanjo naitaka si mimi tu bali na jamaa zangu. Ndiyo maana nimefika kuliko na the down trodden. Hawa si wa Mzena tu bali hata simu na vitambulisho hawana.
Hata hivyo mimi ni nani kulazimishana kupata chanjo kama haipo? Kwangu mimi kuuona utopolo wote kama ulivyo, inatosha sana.
Kwani utalii wa ndani ni Burigi peke yake?
Wewe hujui kuwa tuko uchumi wa kati, tozo za miamala na kodi juu?
Hawa wanaozidi kukamuliwa ndiyo hao hao ambao pia kwenye chanjo labda ni daraja la 2.
Nitapata chanjo yangu inshallah pamoja na washirika wangu makwetu. Hili si zoezi la kukosa mimi na wote niwapendao. Hayawi hayawi hatimaye huenda yatakuwa.
Tumefika kujiandikisha 08:00: wenye magonjwa mengine na wazee 50+ kwa mujibu wa waraka wa wizara.
Karibu Tanzania. Huku ndiko Dunia iliko:
1. Pana watu kwenye makundi lengwa wangali hawana vitambulisho vya Nida wala namba za Nida.
2. Kwenye kundi #1 wapo pia wengine ambao hawana vitambulisho vingine vyovyote katika vilivyotajwa kwenye waraka.
3. Katika walengwa kuna vikongwe 100+ wa kubeba kuwasogeza hata kwa umbali wa mita 1.
4. Katika walengwa wapo wasiokuwa na simu achilia mbali smartphone ya kujisajili online.
5. Maelekezo ya kujisajili mitandaoni kwa hakika hayana cha kufanya na Tanzania hii.
Mwitikio wa watu kujiandikisha ni mkubwa sana. Uhamasishaji haukuwa mdogo. Ni muhimu wote hawa wakawezeshwa kupata chanjo hii bila kukosa.
Itakuwa si haki kwa watu hawa wanaoihitaji chanjo kufanywa binadamu daraja la 2.
Nilipata nafasi ya kusema mawili matatu na maafisa waliokuwa wanafanya usajili huo. Nikidhani kuwa hatarini walikuwa ni wazee na wenye magonjwa mengine peke yao.
Haya ndiyo yaliyokuwa majibu yao:
"Mnadhani wanaokufa na ugonjwa huu ni wazee peke yao? Mbona vijana wengi tu nao unawaondoa?"
Bado sijachwanjwa labda hadi kesho. Tumeambiwa tutapigiwa simu. Bado hatujapata confirmation. Bado tunasubiri. Bado hatuachanjwa hadi tutakapokuwa nimechanjwa.
"Kama wasafiri bado tungali tuko njiani" -- King Kikki.
Hongereni wakuu. Nilijua huku vijijini kutakuwa na changamoto. Hata hivyo ninayo furaha ya kuhakikisha wapendwa wangu ninapata nao chanjo panapo majaliwa.
Nitapata chanjo yangu inshallah pamoja na washirika wangu makwetu. Hili si zoezi la kukosa mimi na wote niwapendao. Hayawi hayawi hatimaye huenda yatakuwa.
Tumefika kujiandikisha 08:00: wenye magonjwa mengine na wazee 50+ kwa mujibu wa waraka wa wizara.
Karibu Tanzania. Huku ndiko Dunia iliko:
1. Pana watu kwenye makundi lengwa wangali hawana vitambulisho vya Nida wala namba za Nida.
2. Kwenye kundi #1 wapo pia wengine ambao hawana vitambulisho vingine vyovyote katika vilivyotajwa kwenye waraka.
3. Katika walengwa kuna vikongwe 100+ wa kubeba kuwasogeza hata kwa umbali wa mita 1.
4. Katika walengwa wapo wasiokuwa na simu achilia mbali smartphone ya kujisajili online.
5. Maelekezo ya kujisajili mitandaoni kwa hakika hayana cha kufanya na Tanzania hii.
Mwitikio wa watu kujiandikisha ni mkubwa sana. Uhamasishaji haukuwa mdogo. Ni muhimu wote hawa wakawezeshwa kupata chanjo hii bila kukosa.
Itakuwa si haki kwa watu hawa wanaoihitaji chanjo kufanywa binadamu daraja la 2.
Nilipata nafasi ya kusema mawili matatu na maafisa waliokuwa wanafanya usajili huo. Nikidhani kuwa hatarini walikuwa ni wazee na wenye magonjwa mengine peke yao.
Haya ndiyo yaliyokuwa majibu yao:
"Mnadhani wanaokufa na ugonjwa huu ni wazee peke yao? Mbona vijana wengi tu nao unawaondoa?"
Bado sijachwanjwa labda hadi kesho. Tumeambiwa tutapigiwa simu. Bado hatujapata confirmation. Bado tunasubiri. Bado hatuachanjwa hadi tutakapokuwa nimechanjwa.
"Kama wasafiri bado tungali tuko njiani" -- King Kikki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.