#COVID19 Chanjo - Mrejesho: Wizara tambueni changamoto hizi

#COVID19 Chanjo - Mrejesho: Wizara tambueni changamoto hizi

Hauoni wewe changamoto ambazo wizara ya afya inatakiwa kuzishughulikia ili wote wanaotaka chanjo kwa hiari yao waweze kuipata na kwa raha zao?

Yale mambo ya nyungu, mikaratusi, malimao, michai chai na yale matango pori. Vipi mngali mnaendelea nayo?

View attachment 1877755

Hivi kwani mlikuwa mnalipwa pesa mlipokuwa mkipotosha watu?

Msisahau, kwa kila kifo tutawawajibisha hata kama mtakuwa makaburini kama yule bwana. Hii pia ni hata kama nasi tutakuwa makaburini.


Habari ndiyo hiyo.
Wewe unafikiri hivyo vidonge havitokani ni miti shamba? Hujawahi kuugua wewe siku ukiugua na dawa za kizungu zikadunda na ikabidi uponyeshwe na miti shamba ndiyo akili zitakurudia.
 
Wewe unafikiri hivyo vidonge havitokani ni miti shamba? Hujawahi kuugua wewe siku ukiugua na dawa za kizungu zikadunda na ikabidi uponyeshwe na miti shamba ndiyo akili zitakurudia.

Haijulikani unataka au hutaki nini. Chawa wa mwendazake proper
 
Nimefanya booking ya kuchanjwa tarehe 7 lkn Leo ndio Nina nafasi nzuri hivi naweza enda leo kituoni na nikapokelewa?
 
Sina bundle la kupoteza kusikiliza utopolo.

Samahani lakini.

Ningali bado sijapata simu yao ya miadi. I am standing by. Watokee au wasitokee kesho ninatia timu mzima mzima.

"Janssen" chanjo ya bure toka kwake beberu - kwa hisani ya watu wamarekani hivi sasa ndiyo habari ya mjini!

Habari yote iko hapa:

View attachment 1877317

Habari ya chanjo itakuwa kwangu historia baada tu, ya kuipokea chanjo.
I don't talk with demons
 
Ukipata madhara uje tukuchangie wale vimbelembele 10 wa mwanzo tutawachangia
Hapo ulipo tu lazima kuna kitu kina madhara kwako. Hata hiyo simu unayotumia, ina mionzi yenye madhara. Wanaotaka chanjo waacheni ni hiyari yao, nyie mnaoamini kuwa kuna wazungu wanataka kuwaua mkajifiche, hata chini ya mawe!
 
Nitapata chanjo yangu inshallah pamoja na washirika wangu makwetu. Hili si zoezi la kukosa mimi na wote niwapendao. Hayawi hayawi hatimaye huenda yatakuwa.

Tumefika kujiandikisha 08:00: wenye magonjwa mengine na wazee 50+ kwa mujibu wa waraka wa wizara.

Karibu Tanzania. Huku ndiko Dunia iliko:

1. Pana watu kwenye makundi lengwa wangali hawana vitambulisho vya Nida wala namba za Nida.
2. Kwenye kundi #1 wapo pia wengine ambao hawana vitambulisho vingine vyovyote katika vilivyotajwa kwenye waraka.
3. Katika walengwa kuna vikongwe 100+ wa kubeba kuwasogeza hata kwa umbali wa mita 1.
4. Katika walengwa wapo wasiokuwa na simu achilia mbali smartphone ya kujisajili online.
5. Maelekezo ya kujisajili mitandaoni kwa hakika hayana cha kufanya na Tanzania hii.

Mwitikio wa watu kujiandikisha ni mkubwa sana. Uhamasishaji haukuwa mdogo. Ni muhimu wote hawa wakawezeshwa kupata chanjo hii bila kukosa.

Itakuwa si haki kwa watu hawa wanaoihitaji chanjo kufanywa binadamu daraja la 2.

Nilipata nafasi ya kusema mawili matatu na maafisa waliokuwa wanafanya usajili huo. Nikidhani kuwa hatarini walikuwa ni wazee na wenye magonjwa mengine peke yao.

Haya ndiyo yaliyokuwa majibu yao:

"Mnadhani wanaokufa na ugonjwa huu ni wazee peke yao? Mbona vijana wengi tu nao unawaondoa?"

Bado sijachwanjwa labda hadi kesho. Tumeambiwa tutapigiwa simu. Bado hatujapata confirmation. Bado tunasubiri. Bado hatuachanjwa hadi tutakapokuwa nimechanjwa.

"Kama wasafiri bado tungali tuko njiani" -- King Kikki.

"We are standing by."
Upate chanjo kutoka wapi zimekuja 1M tupo almost 65M. Ukifanikiwa kupata mshukuru sana Mungu wako.
 
Mrejesho - day 2 (3rd Aug):

Hatukupokea simu yoyote tofauti na tulivyo ahidiwa. Kama tulivyodhamiria tukaamua kivyetu vyetu tukatia timu.

"Mambo bado" --- mtoto mzuri Tshimanga Assosa.

Tumeambiwa tutapigiwa simu tuwe na subira, kwani hata wafanyakazi wa afya wote wa mkoa huu na hata wa mikoa yote ya jirani pia bado hawajachanjwa na haijulikani watachanjwa lini.

Hivyo tuendelee tu kusubiri simu. Haijulikani simu zitakuja lini.

Tumedhamiria kufuata wayasemayo hadi mwisho. Labda nyama ziko chini, nani ajuaye?

Kwa kweli kama ilivyokuwa kwa magoma moto moto ya disko agwaya - "mambo bado!"
 
Upate chanjo kutoka wapi zimekuja 1M tupo almost 65M. Ukifanikiwa kupata mshukuru sana Mungu wako.

Chanjo naitaka si mimi tu bali na jamaa zangu. Ndiyo maana nimefika kuliko na the down trodden. Hawa si wa Mzena tu bali hata simu na vitambulisho hawana.

Hata hivyo mimi ni nani kulazimishana kupata chanjo kama haipo? Kwangu mimi kuuona utopolo wote kama ulivyo, inatosha sana.

Kwani utalii wa ndani ni Burigi peke yake?

Wewe hujui kuwa tuko uchumi wa kati, tozo za miamala na kodi juu?

Hawa wanaozidi kukamuliwa ndiyo hao hao ambao pia kwenye chanjo labda ni daraja la 2.

Unasomeka vyema mkuu.
 
Mrejesho - day 3 (4th Aug):

Tunaendelea kusubiria. Bado hakuna simu wala updates.

IMG-20210804-WA0001.jpg


Kama hata wafanyakazi Bugando mambo bado kwani sisi nani?
 
Mrejesho - day 1 (2nd Aug):

Nitapata chanjo yangu inshallah pamoja na washirika wangu makwetu. Hili si zoezi la kukosa mimi na wote niwapendao. Hayawi hayawi hatimaye huenda yatakuwa.

Tumefika kujiandikisha 08:00: wenye magonjwa mengine na wazee 50+ kwa mujibu wa waraka wa wizara.

Karibu Tanzania. Huku ndiko Dunia iliko:

1. Pana watu kwenye makundi lengwa wangali hawana vitambulisho vya Nida wala namba za Nida.
2. Kwenye kundi #1 wapo pia wengine ambao hawana vitambulisho vingine vyovyote katika vilivyotajwa kwenye waraka.
3. Katika walengwa kuna vikongwe 100+ wa kubeba kuwasogeza hata kwa umbali wa mita 1.
4. Katika walengwa wapo wasiokuwa na simu achilia mbali smartphone ya kujisajili online.
5. Maelekezo ya kujisajili mitandaoni kwa hakika hayana cha kufanya na Tanzania hii.

Mwitikio wa watu kujiandikisha ni mkubwa sana. Uhamasishaji haukuwa mdogo. Ni muhimu wote hawa wakawezeshwa kupata chanjo hii bila kukosa.

Itakuwa si haki kwa watu hawa wanaoihitaji chanjo kufanywa binadamu daraja la 2.

Nilipata nafasi ya kusema mawili matatu na maafisa waliokuwa wanafanya usajili huo. Nikidhani kuwa hatarini walikuwa ni wazee na wenye magonjwa mengine peke yao.

Haya ndiyo yaliyokuwa majibu yao:

"Mnadhani wanaokufa na ugonjwa huu ni wazee peke yao? Mbona vijana wengi tu nao unawaondoa?"

Bado sijachwanjwa labda hadi kesho. Tumeambiwa tutapigiwa simu. Bado hatujapata confirmation. Bado tunasubiri. Bado hatuachanjwa hadi tutakapokuwa nimechanjwa.

"Kama wasafiri bado tungali tuko njiani" -- King Kikki.

"We are standing by."
Sisi tuliochanja Mbagala Jumanne 03 hakukuwa na tatizo lolote, wote waliofika walichanjwa
IMG_20210803_101338.jpg
 
Mrejesho - hatimaye napata chanjo:

Hatimaye tulipata simu kufika kwa ajili ya chanjo. La msingi tulichanjwa. Chanjo ni muhimu. Changamoto zake haziizidi thamani yake.

Yaliyojiri na yatokanayo kwa hakika yanastahili uzi kamili.
 
Mrejesho - day 1 (2nd Aug):

Nitapata chanjo yangu inshallah pamoja na washirika wangu makwetu. Hili si zoezi la kukosa mimi na wote niwapendao. Hayawi hayawi hatimaye huenda yatakuwa.

Tumefika kujiandikisha 08:00: wenye magonjwa mengine na wazee 50+ kwa mujibu wa waraka wa wizara.

Karibu Tanzania. Huku ndiko Dunia iliko:

1. Pana watu kwenye makundi lengwa wangali hawana vitambulisho vya Nida wala namba za Nida.
2. Kwenye kundi #1 wapo pia wengine ambao hawana vitambulisho vingine vyovyote katika vilivyotajwa kwenye waraka.
3. Katika walengwa kuna vikongwe 100+ wa kubeba kuwasogeza hata kwa umbali wa mita 1.
4. Katika walengwa wapo wasiokuwa na simu achilia mbali smartphone ya kujisajili online.
5. Maelekezo ya kujisajili mitandaoni kwa hakika hayana cha kufanya na Tanzania hii.

Mwitikio wa watu kujiandikisha ni mkubwa sana. Uhamasishaji haukuwa mdogo. Ni muhimu wote hawa wakawezeshwa kupata chanjo hii bila kukosa.

Itakuwa si haki kwa watu hawa wanaoihitaji chanjo kufanywa binadamu daraja la 2.

Nilipata nafasi ya kusema mawili matatu na maafisa waliokuwa wanafanya usajili huo. Nikidhani kuwa hatarini walikuwa ni wazee na wenye magonjwa mengine peke yao.

Haya ndiyo yaliyokuwa majibu yao:

"Mnadhani wanaokufa na ugonjwa huu ni wazee peke yao? Mbona vijana wengi tu nao unawaondoa?"

Bado sijachwanjwa labda hadi kesho. Tumeambiwa tutapigiwa simu. Bado hatujapata confirmation. Bado tunasubiri. Bado hatuachanjwa hadi tutakapokuwa nimechanjwa.

"Kama wasafiri bado tungali tuko njiani" -- King Kikki.

"We are standing by."
Sikufanya buking'i, nilienda nikaunga foleni na nilipoifikia meza ya kujiandikisha nikaandikwa kisha nikaenda kuchanja fyuiiiiiii.IMG_20210803_101338.jpg
 
Sikufanya buking'i, nilienda nikaunga foleni na nilipoifikia meza ya kujiandikisha nikaandikwa kisha nikaenda kuchanja fyuiiiiiii.View attachment 1887128

Bongo darisalama haiwezi kuwa sawa buseresere Chatto.

Kulikosemekana buking'i ilikuwa kununua muda. Chanjo zilisafirishwa kwa takribani gari moja moja kwa kila kanda.

Baada ya recuperate na ka aftermath ka hii chanjo si mbaya kuleta mrejesho funga wa hili zoezi.
 
Back
Top Bottom