- Thread starter
- #41
Hatimaye nilipata chanjo. Uzi kamili ya msingi yanayostahili kurekebishwa
Chanjo ilikuwa bwerere nakuaminishwa juu kuwa ni kwa hisani ya CCM na kuwa Rais wetu mpendwa ndiye aliyekuwa ametufadhili kuipata bure.
#COVID19 - Chanjo isiwe Siasa, Vigezo na Masharti vizingatiwe
Amini usiamini vijijini wameamini hivyo.
Hiiiiii bagosha!
Upate chanjo kutoka wapi zimekuja 1M tupo almost 65M. Ukifanikiwa kupata mshukuru sana Mungu wako.
Chanjo ilikuwa bwerere nakuaminishwa juu kuwa ni kwa hisani ya CCM na kuwa Rais wetu mpendwa ndiye aliyekuwa ametufadhili kuipata bure.
#COVID19 - Chanjo isiwe Siasa, Vigezo na Masharti vizingatiwe
Amini usiamini vijijini wameamini hivyo.
Hiiiiii bagosha!