#COVID19 Chanjo - Mrejesho: Wizara tambueni changamoto hizi

#COVID19 Chanjo - Mrejesho: Wizara tambueni changamoto hizi

Hatimaye nilipata chanjo. Uzi kamili ya msingi yanayostahili kurekebishwa


Chanjo ilikuwa bwerere nakuaminishwa juu kuwa ni kwa hisani ya CCM na kuwa Rais wetu mpendwa ndiye aliyekuwa ametufadhili kuipata bure.


Amini usiamini vijijini wameamini hivyo.

Hiiiiii bagosha!
Kijiji gani unachozungumzia wakati hawataki ata kuisikia hiyo chanjo na kumuona mama ni adui number moja wa taifa anayetaka kuwaua.
 
Kijiji gani unachozungumzia wakati hawataki ata kuisikia hiyo chanjo na kumuona mama ni adui number moja wa taifa anayetaka kuwaua.

Hii mitego ya kunguru kwa maharage makavu hivi huwa mnawanasa?

IMG_20210814_105149_528.jpg
 
Back
Top Bottom