Hauoni wewe changamoto ambazo wizara ya afya inatakiwa kuzishughulikia ili wote wanaotaka chanjo kwa hiari yao waweze kuipata na kwa raha zao?
Yale mambo ya nyungu, mikaratusi, malimao, michai chai na yale matango pori. Vipi mngali mnaendelea nayo?
View attachment 1877755
Hivi kwani mlikuwa mnalipwa pesa mlipokuwa mkipotosha watu?
Msisahau, kwa kila kifo tutawawajibisha hata kama mtakuwa makaburini kama yule bwana. Hii pia ni hata kama nasi tutakuwa makaburini.
Katika ule mukthadha wa kukubali kutokubaliana, ikumbukwe kuwa iliombwa watu kuweka orodha ya wahanga wote wa hizi changamoto za kupumua, kila inapowezekana. Kuondoa tashwishi hapa ninaweka tarehe tulizopoteza wanasheria nguli hadi kufikia 09.07.2020 idadi yao mbele katika mabano (kama...
Habari ndiyo hiyo.