#COVID19 Chanjo ni Lazima: Hoja ya Mbowe ina Mashiko

#COVID19 Chanjo ni Lazima: Hoja ya Mbowe ina Mashiko

Ni upumbavu pia kuamini eti yule mwendakuzimu alikufa Sababu ya hivi vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.

Kwamba?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ndiyo maana Loliondo babu ana kikombe kutibu na kuzuia Corona.

Hiiiiii bagosha!
 
Mkuu achana naye huyo. Hana lolote.

Si unasikia babu wa Loliondo ana kikombe cha kutibu na kuzuia Corona?

Huku ndiko tuliko sisi ambako Museveni na bwana Kagame walishatoka na ilipobidi ilikuwa ni kwa bakora.
Sawa mwambie makengeneza mbowe akupeleke kwa kagame na museven maana wanafanana.

images (2).jpeg


images (1).jpeg


images (2).jpeg


images (1).jpeg
 
Kama safari zako za kigoma,njombe madaba chuna tu,
ila ukiwa unakwea pipa hiyo ni lazima sio ombi huko nje hawataki uwapelekee maradhi.

Na bado. Wigo huwa unaenda ukitanuliwa.
 
Nakumbuka mwanzo wa NIDA watu walikataa wakidai ni mambo ya uFirimasoni lakini serikali ilipata jinsi ya kuwabana mpaka kila mtu akakimbilia kujisajili. Na hili la corona litakua hivo hivo serikali inasema ni hiyari lakini najua kuna jinsi itawabana watu mpaka kila mtu atakimbilia chanjo
 
Kwamba?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ndiyo maana Loliondo babu ana kikombe kutibu Corona.

Hiiiiii bagosha!
Yule mchato ni unfit physically and mentally since day one ndo maana alikuwa wa kwanza kwenda kunywa kikombe cha babu loliondo, ni uonevu mkubwa mtu aliyekuwa na file lake kubwa pale milembe kumsingizia eti kafa Sababu ya vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.
 
Nakumbuka mwanzo wa NIDA watu walikataa wakidai ni mambo ya uFirimasoni lakini serikali ilipata jinsi ya kuwabana mpaka kila mtu akakimbilia kujisajili. Na hili la corona litakua hivo hivo serikali inasema ni hiyari lakini najua kuna jinsi itawabana watu mpaka kila mtu atakimbilia chanjo

Mwanzo wa ngoma ni lele.

Hakuna mtu ana shadadia wengine kuchanjwa. Ila kutochanjwa kwa wajinga na wapumbavu (wawe wengi au wachache) hakuhalalishi kuwaweka wengine mashakani au hatarini.

Hiyo ni natural justice.

Mola wetu na akatujalie tusifike kwenye kulazimishana ili kila mmoja wetu na akabakie na m@vi yake.
 
Acheni ukuda wenu.
Mimi nikifa wewe unaumia nini? Lazima lazima ndio sitakufa au?

Acheni mambo ya ajabu bana. Hata wakisema leo lazima, sichanji ni bora waniue kuliko kuchanja.

Et unachanja kisa li ugonjwa la kutunga. Ujinga bana. Nikichanja then what? Sitaumwa? Sitakufa? I fear nothing to die when right time comes..
Nahisi wewe ni ndugu yangu! Salute mkuu
 
Yule mchato ni unfit physically and mentally since day one ndo maana alikuwa wa kwanza kwenda kunywa kikombe cha babu loliondo, ni uonevu mkubwa mtu aliyekuwa na file lake kubwa pale milembe kumsingizia eti kafa Sababu ya vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.

Usiyasahau mahaba niue ya Corona kwa wanaume, wazee na hasa wenye magonjwa mengine bila ya kuwasau waliowahi kupata kikombe cha babu enzi hizo.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Chanjo ndani ya mwaka mmoja jiulizeni tafiti ilichukua mda gani? Mpaka uhakika wa chanjo hiyo,,,,,Maisha ya watu hayawekwi rehani kiasi hicho tafadhal.
 
Mleta hoja,mbowe na wengine wote mnaleta ujinga wenu kusema chanjo eti iwe ni lazima, Ubongo wenu umejaa nduwi,

chanjo humlinda aliyechanjwa, hofu yako nini na wasiochanjwa?

Jinga kabisa
 
Chanjo ndani ya mwaka mmoja jiulizeni tafiti ilichukua mda gani? Mpaka uhakika wa chanjo hiyo,,,,,Maisha ya watu hayawekwi rehani kiasi hicho tafadhal.

Ulitaka chanjo ndani ya muda gani mkuu?

Hata hivyo, hadi hapa tulipo ni hiari na inshallah itaendelea hivyo.
 
Tatizo sio chanjo tatizo ni hao waliotengeneza hiki kirusi kwa makusudi kabisa je wanalengo lipi na wanadamu???

Kama suala ni kifo mbona ni jambo la muda tu na kila mmoja atakionja!!

Ni kweli ugonjwa upo na unaua bahati nzuri ni kwamba kila kitu kimeshawekwa wazi juu ya madhumuni na lengo la hili gonjwa pamoja na chanjo yake

Hivyo kuanza kulazimishana chanjo ni upuuzi na kila mtu aishi maisha yake ilimradi hauvunji sheria na kanuni za nchi
 
Back
Top Bottom