Tetesi: Chanjo za Corona zimetua nchini rasmi

Afya ni mali yangu.....

Mimi na wenzangu kadhaa niliowashawishi kwa HOJA tunajiandaa Serikali ikianza KUTOA HIZO CHANJO tuwe wa mwanzomwanzo KUCHANJWA na PICHA TUPIGWE tuzirushe humu ndani....

#KaziIendelee
Ukadungwe wewe na mmeo.

Usiwashawishi watu wasio na hatia kwenda kudungwa sumu.

Wewe na mmeo hata mkiganda damu haina shida sana.

The two of you don't really matter β€” Losing two fools is not too bad.

What matters is the future generation that we have sworn to protect.
 
Mungu wabariki Wazungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…