🤣🤣🤣🤣🤣FAKE NEWS!
 
Huu ujinga ndio uliofanya watu wengi sana waamini na kuingia mkenge

Kweli kama ni mpango wa kupunguza watu watakupa taarifa
Mbona walipowafukia wazawa huko Canada haikujulikana mpaka juzi juzi tu
Na walizika mamia kanisani
Ukiamini haya utakuwa mtu wa wasiwasi kila kukicha kama story za illuminati tu

Chanjo zipo za kila aina na dawa hazijaanza leo kuja na zitaendelea kuja na wakitaka kutuuwa wala hatutajua watu wanakufa kwa nini

Dhana potofu eti watu 3b
Unajua pato la hao watu ?
Wazungu wanawaza hela sisi eti tuamini wanataka kupunguza pato


Kwa sisi acha tuchangie makato kwenye utumaji wa hela kama mchango wa hiari kwa ajili ya hizo Sindano na sio vingine

Tunapewa bure % kadhaa tu na zingine lazime tulipe sasa bila sisi kuchangia kwa UZALENDO zitoke wapi?
 
Hakuna sehemu chanjo imetajwa kwenye hiyo video yako.

Anayeongea hajulikani ni nani, hata wewe unaweza ongea hivyo ukaweka video

Kama wazungu wangetaka kutuua wangeshafanya hivyo siku nyingi na sio kusubiri Corona vaccine
Unajuaje sasa...kama walishaanza na sasa ni mwendelezo tu!!?
 
Wazungu wakitaka kutuua waafrica is just the matter of weeks
Kuwa zinja shida sana.

Yani mtu anadhani hadi chanjo ndo watauliwa wasijue chanjo wamepigwa toka watoto.
 
Mkuu hizo simu na kompyuta unayotumia unajua zina nini ndani?
 
Mtasikia mengi mno mpaka mtachanganyikiwa: it's just simple - chanja kama unahitaji au achana na chanjo kama huhitaji.
 
Mwenye uhakika wa kuishi milele anipe mbinu.
 
Mtadanganyana sana na huo ujinga wa wachache wana tengeneza clip za uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…