Nyie waafrica mna akili za kipunda punda sana,sasa mtachanjwa kwa nguvu,na atakayezuia watu wasichanjwe atapigwa Risasi hadharani.
Ningekuwa Rais mimi Gwajima angekuwa kapotea siku nyingi mno
 
Msemo wa kwetu uswahilini unasema chelewa chelewa utakuta DNA hazifanani na zako,kwa maana hii chanjo itakuja kuwa ya kulipia na wakati huo marazi nje nje,unamkwaa covi kiulaini kabisa. Hivyo tulia wala hulazimishwi ila basi la mwendo kasi hupandi.
 
Nyie waafrica mna akili za kipunda punda sana,sasa mtachanjwa kwa nguvu,na atakayezuia watu wasichanjwe atapigwa Risasi hadharani.
Ningekuwa Rais mimi Gwajima angekuwa kapotea siku nyingi mno
Kwani situulizane tu,wabambikiaji kwani wanaogopa kijani?
 
Huu ujuaji wenu mnaotaka kutuletea hapa haukubaliki hata kidogo.

Mnajifanya mnajua sana kuliko Dunia nzima si ndiyo?

Nyie Watanzania mnaopinga Chanjo ya Covid-19,tuelezeni Tanzania iliwahi kuvumbua Chanjo gani hapa Duniani?
Kila kitu mnaletewa kutoka Ulaya na Marekani.

Chanjo za Polio,Tetenus na ndui mnazodungwa tangu mkiwa watoto hadi mnakua na kupata nguvu ya kubwabwaja hovyo mnazitengeneza nyie Watanzania?

Madawa ya ARV mnayobugia Kama karanga baada ya kugongwa na umeme huwa mnayatengeneza nyie Watanzania?
Vyote hivyo vinatoka Ulya na Marekani,na India.

Sasa ujuaji mnautoa wapi?

Nasema ningekuwa Rais, Gwajima angepotea, huwezi kuhamasisha Taifa kususia Chanjo wakati huna ujuzi wowote na mambo ya Sayansi ya Afya,Eti kisa umejaliwa kuongea sana.
 
Single touch, double manifestation
 
Me nimechagua kuchanja mbuga.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukitobolewa na msumari au kukatwa na bati unakimbilia kuchoma chanjo ya "tetenasi"... unafikiri imetengezwa hapa??unajua umadhubuti wake??umewahi kupewa maelezo ya hii chanjo??
 
...uwalinde wengine kwa manufaa ya wote.
Hakutakuwa na 'wave four' nikishachanjwa? Ninyi mnaposhindwa kujibu maswali kama haya kwa utaratibu na kwa umakini ndiyo mnazidisha dukuduku dhidi ya chanjo. Siyo vizuri hivyo, mjue!
 
Hakutakuwa na 'wave four' nikishachanjwa? Ninyi mnaposhindwa kujibu maswali kama haya kwa utaratibu na kwa umakini ndiyo mnazidisha dukuduku dhidi ya chanjo. Siyo vizuri hivyo, mjue!
Itumie hiari yako vizuri na sii vibaya,usinitafuta baadae kuwa sikukuambia.
 
Itumie hiari yako vizuri na sii vibaya,usinitafuta baadae kuwa sikukuambia.
Kwa hiyo huna majibu ya maswali au lazima niwe na hiari ya kuchanja na ni chanje ndipo nitajibiwa?😳🙄
 
wagonjwa wa;
1.KISUKARI
2.UKIMWI
3.SARATANI
4.MOYO
5.PRESHA
6.TB
tuchukue tahadhari maaana hili wimbi la 3 la delta linapuputisha sana wenye maradhi hayo.
chukua tahadhari piga chanjo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…