Kwa kiasi kikubwa nchi za mabeberu ni maskini wa maliasili!! Kwa hiyo wamekuja na mkakati wa kuhakikisha wanatumia corona kuvuna mabilioni muda wote toka nchi zingine!! Wanatengeneza mawimbi bandia ya corona ili kuhakikisha chanjo zinakuwa bidhaa ya kudumu.
Kwa sasa Uingereza imetangaza kuwa chanjo ya corona booster ni kila baada ya miezi 3 kwa watu wote kuanzia miaka 12 na kuendelea!! kwa vyo vyote vile hili jambo halitekelezeki kwa nchi zetu hizi, au labda uamue kila pesa unayopata inunue chanjo tu. Ukifanya hivyo tayari unawafanya watu kuwa watumwa wa kufanya kazi ili kipato kinachopatikana kipelekwe kwa mabeberu kulipia chanjo!! JPM alisema nooooo!!! na watanzania tulimwelewa!! Kutuambia vinginevyo na ngonjera za barakoa ni kutwanga maji kwenye kinu!! Endeleeni kina-akwilapo labda mtafanikiwa kuyatwanga maji kwenye kinu!!